Themanininamoja
Member
- May 14, 2019
- 42
- 87
Siwezi kumlaumu sana, naheshimu mawazo yake mzee wangu.
Lakini nikiwa kama kijana na ndoto zangu nimejikuta leo nikikumbuka jinsi ambavyo ningekuwa naishi katika ndoto zangu na hata kumsaidia yeye mwenyewe.
Ilikuwa hivi;-
Baada ya kupata nafasi ile kutoka kwa mkubwa wa kitengo kile wa wakati ule, kila kitu kilikamilika na hatimaye walinipa muda wa kusubiri kunijua vizuri na familia yangu. Nafikiri walikamilisha hilo kwa muda wao wenyewe, mwisho wa siku ilikuwa ni kwenda kumfahamisha mzazi mmoja ambaye ni baba yangu mzazi
Baba bwana kwa vile ni mtu wa dini, akasema HAPANA kazi hii ni HARAMU na haifai mwanangu utakwenda kuungua kesho kwa Mungu.
Aloo daaah niliumia sana sana sana,,, Baba yangu nakupenda sana huenda umeniepusha na jambo.
Najua uzi huu hautauona lakini Naomba unisamehe sana mzee wangu (kiongozi wa dini) pale kijijini kwetu.
Lakini nikiwa kama kijana na ndoto zangu nimejikuta leo nikikumbuka jinsi ambavyo ningekuwa naishi katika ndoto zangu na hata kumsaidia yeye mwenyewe.
Ilikuwa hivi;-
Baada ya kupata nafasi ile kutoka kwa mkubwa wa kitengo kile wa wakati ule, kila kitu kilikamilika na hatimaye walinipa muda wa kusubiri kunijua vizuri na familia yangu. Nafikiri walikamilisha hilo kwa muda wao wenyewe, mwisho wa siku ilikuwa ni kwenda kumfahamisha mzazi mmoja ambaye ni baba yangu mzazi
Baba bwana kwa vile ni mtu wa dini, akasema HAPANA kazi hii ni HARAMU na haifai mwanangu utakwenda kuungua kesho kwa Mungu.
Aloo daaah niliumia sana sana sana,,, Baba yangu nakupenda sana huenda umeniepusha na jambo.
Najua uzi huu hautauona lakini Naomba unisamehe sana mzee wangu (kiongozi wa dini) pale kijijini kwetu.

