Natamani na sisi huku bara tungeandamana kuwaunga mkono wapewe ki nchi chao. tubaki kwa mbali tukiwawtch - tuuone huo umoja wao na wanavyopendana.
Nimejua ni kwa nini Baba wa Taifa alisema angekuwa na uwezo angevisukumia mbali vile visiwa. Maana by nature wale jamaa ndivyo walivyo.
Nimejua ni kwa nini Baba wa Taifa alisema angekuwa na uwezo angevisukumia mbali vile visiwa. Maana by nature wale jamaa ndivyo walivyo.