Tetesi: Baadhi ya watumishi wa umma hawajapata mshahara

REJESHO HURU

JF-Expert Member
Mar 6, 2014
4,451
9,375
Kutoka katika vyanzo tofauti vya magroup ya Whatsapp Ya watumishi wa umma yameibuka malalamiko kuwa kuna baadhi ya watumishi wa umma hawajawekewa mshara wa mwezi huu wa saba uliotoka leo mchana


Sababu haijulikani maana tangu zoezi la uhakiki wote umepita wapo salama kabisa na mshahara walikuwa wanapata

Swali je hapo ulipo vip?
 
Back
Top Bottom