NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,959
- 2,938
vingi mkuu.kama ifuatavyo-:
1.Vituo 2 vya Day cares
2.Shule ya Msingi1
3.Stoo ya kuuza mkaa
4.Duka la bites
5.Duka la vifaa na dawa za usafi
vingi mkuu.kama ifuatavyo-:
Muone HR wakoHapana hiyo inshu yakusitishwa darasa ka saba ni nyingine na ishu ya baadhi ya watumishi jutoona mshahara wao paka sasa ni nyingine nahatujui tatizo ni bot au nini maana uhakiki nakila kitu vipo sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Afisa utumishi umempata wapi ukamuuliza weekend hiiKama ni system ya BOT waliyosema ni afadhali waibadilishe maana imesababisha shida kubwa kubwa mno.Hadi sasa watumishi wengi ni kilio na familia zao sababu haijajulikana.Maafisa UTUMISHI wakiulizwa wanasema kwenye mtumishi hana tatizo ila system iliyotumiwa ndiyo shida.Yaani mnawafanya watu wasomeke majipu kwa wengine bila sababu za msingi.Hadi ATM zimechoka kuulizwa.Saikolojia za watu mmeziua mbaya sana.