Tetesi: Baadhi ya watumishi wa umma hawajapata mshahara

Haki ya MAMA ni aibu, yaani mshahara ndii kila kitu asee kwa watu, niliona salary slip ya Architect aliesoma miaka 5 pale ARU analipwa 950,000 anaoenda nao nyumbani kila mwezi ni 625,000 hayo ni makato ya serikali tu.
 
Kama ni system ya BOT waliyosema ni afadhali waibadilishe maana imesababisha shida kubwa kubwa mno.Hadi sasa watumishi wengi ni kilio na familia zao sababu haijajulikana.Maafisa UTUMISHI wakiulizwa wanasema kwenye mtumishi hana tatizo ila system iliyotumiwa ndiyo shida.Yaani mnawafanya watu wasomeke majipu kwa wengine bila sababu za msingi.Hadi ATM zimechoka kuulizwa.Saikolojia za watu mmeziua mbaya sana.
Afisa utumishi umempata wapi ukamuuliza weekend hii

acha uongo
 
Kuhusu uzi huu, mpaka leo tarehe 30/7/2017 baadhi ya watumishi bado hawajapata mishahara ya mwezi wa saba na hawajapewa maelezo yoyote yanayoeleza nini wafanye ili wapate mishahara hiyo.

Kwa mwenye uwezo wa kuishauri hazina/serekali ni vizuri akaishauri ili watumishi wote ambao hawajapata mishahara wajulishwe kwanini hawajapata mishahara kama kosa ni lao watakiwe kurekebisha, kama wametumbuliwa basi wajulishwe vilevile.

Ukila ukashiba na kusaza usiwasahau wenye njaa.
 
Back
Top Bottom