Jay z apumzike sasa..afanye business zake akiendelea atakua anapigwa mielekabruno ni kiboko, amefanya jay z awe na wakati mbaya sana kwenye hizi tuzo
Great of all timeHilo neno naliona sana lakini sijuagi maana yake!..any help please!
Rudi tena usingizin uendelee kuotawasafi alikiba hawapo?
mbona nimeona insta?Rudi tena usingizin uendelee kuota
kama ilivyo desturi yao...Wata display illuminat symbolism kwenye hiyo show hadi watazamaji wakome
Kuna mtu nlmuambia juzi Jay Z Licha ya kutajwa Mara nane zaidi ya Kendrick,, lkn hakuwa na uwezo wa kumzd Lamar,,, Lamar kamsuprise htrJay z apumzike sasa..afanye business zake akiendelea atakua anapigwa mieleka
awaachie akina drake wapambane na huyu kendric sasa
Jay-Z angefunga mdomo juu ya Trump jana juzi labda angeambulia kitu.. sielewi y akose hata moja ya kufutia machozi.. duh!!!
Best rap album of the year na album of the yeat zile kanyimwa wazwazTukienda moja moja kati ya alizokuwa nominated Jay Z
1. Album Of The Year:
Bruno Mars - 24K Magic (winner)
Childish Gambino - Awaken, My Love!
Jay Z - 4:44
Kendrick Lamar - Damn
Lorde - Melodrama
4:44 isingechukua mbele ya DAMN; kwangu naona alikosa halali.
2. Record Of The Year:
Bruno Mars - 24K Magic (winner)
Childish Gambino - Redbone
Luis Fonsi - Despacito
Jay Z - The Story of OJ
Kendrick Lamar - Humble
Despacito, Humble zote ni moto kwa Story of OJ; hapa pia ni halali kwa mtazamo wangu.
3. Song Of The Year:
Bruno Mars - That's What I Like (winner)
Luis Fonsi & Daddy Yankee Featuring Justin Bieber - Despacito
Jay Z - 4:44
Julia Michael - Issues
Logic ft Alessia Cara and Khalid - 1-800-273-8255
Hapa Despacito yupo tena, sijasikia hizo nyimbo za wengine, ila That's What I Like ni moto sana kwa 4:44.
4. Best rap album:
Kendrick Lamar - Damn (winner)
Jay Z - 4:44
Migos - Culture
Rapsody - Laila's Wisdom
Tyler, The Creator - Flower Boy
Sina cha kuongeza, tuzo kwenda kwa K Dot, na hivi Culture kwa generation hii bado ni zaidi ya 4:44, labda kwa sisi wa old schools.
5. Best Rap Performance:
Kendrick Lamar - Humble (winner)
Big Sean - Bounce Back
Cardi B - Bodak Yellow
Jay Z - 4:44
Migos feat Lil Uzi Vert - Bad And Boujee
Nahisi hapa Jay Z atakuwa kawa wa mwisho kabisa kwenye hii category.
6. Best Rap/Sung Performance:
Kendrick Lamar feat Rihanna - Loyalty (winner)
6LACK - PRBLMS
Goldlink Featuring Brent Faiyaz & Shy Glizzy - Crew
Jay Z feat Beyoncé - Family Feud
SZA feat Travis Scott - Love Galore
Popote ambapo K Dot kamshinda Jay Z, hakuhitaji ubishi.
7. Best Rap Song:
Kendrick Lamar - Humble (winner)
Cardi B - Bodak Yellow
Danger Mouse feat Run The Jewels and Big Boi - Chase Me
Rapsody - Sassy
Jay Z - The Story Of O.J.
Hapa tena no ubishi, nimemwonea huruma sana Cardi B kuwekwa kwenye hizi categories ambazo K Dot yumo. Kwa nini wasiweke Men na Women tofauti?
8. Best Music Video:
Kendrick Lamar - Humble (winner)
Beck - Up All Night
Jain - Makeba
Jay Z - The Story Of O.J.
Logic Featuring Alessia Cara & Khalid - 1-800-273-8255
Hapa pia sidhani kama kuna cha kujadili.
Yeyote anayedhani Jay Z alistahili tuzo aseme ni tuzo ipi angepewa.
Family feud ilistahili 100 percent bonge la meseji sana sanaTukienda moja moja kati ya alizokuwa nominated Jay Z
1. Album Of The Year:
Bruno Mars - 24K Magic (winner)
Childish Gambino - Awaken, My Love!
Jay Z - 4:44
Kendrick Lamar - Damn
Lorde - Melodrama
4:44 isingechukua mbele ya DAMN; kwangu naona alikosa halali.
2. Record Of The Year:
Bruno Mars - 24K Magic (winner)
Childish Gambino - Redbone
Luis Fonsi - Despacito
Jay Z - The Story of OJ
Kendrick Lamar - Humble
Despacito, Humble zote ni moto kwa Story of OJ; hapa pia ni halali kwa mtazamo wangu.
3. Song Of The Year:
Bruno Mars - That's What I Like (winner)
Luis Fonsi & Daddy Yankee Featuring Justin Bieber - Despacito
Jay Z - 4:44
Julia Michael - Issues
Logic ft Alessia Cara and Khalid - 1-800-273-8255
Hapa Despacito yupo tena, sijasikia hizo nyimbo za wengine, ila That's What I Like ni moto sana kwa 4:44.
4. Best rap album:
Kendrick Lamar - Damn (winner)
Jay Z - 4:44
Migos - Culture
Rapsody - Laila's Wisdom
Tyler, The Creator - Flower Boy
Sina cha kuongeza, tuzo kwenda kwa K Dot, na hivi Culture kwa generation hii bado ni zaidi ya 4:44, labda kwa sisi wa old schools.
5. Best Rap Performance:
Kendrick Lamar - Humble (winner)
Big Sean - Bounce Back
Cardi B - Bodak Yellow
Jay Z - 4:44
Migos feat Lil Uzi Vert - Bad And Boujee
Nahisi hapa Jay Z atakuwa kawa wa mwisho kabisa kwenye hii category.
6. Best Rap/Sung Performance:
Kendrick Lamar feat Rihanna - Loyalty (winner)
6LACK - PRBLMS
Goldlink Featuring Brent Faiyaz & Shy Glizzy - Crew
Jay Z feat Beyoncé - Family Feud
SZA feat Travis Scott - Love Galore
Popote ambapo K Dot kamshinda Jay Z, hakuhitaji ubishi.
7. Best Rap Song:
Kendrick Lamar - Humble (winner)
Cardi B - Bodak Yellow
Danger Mouse feat Run The Jewels and Big Boi - Chase Me
Rapsody - Sassy
Jay Z - The Story Of O.J.
Hapa tena no ubishi, nimemwonea huruma sana Cardi B kuwekwa kwenye hizi categories ambazo K Dot yumo. Kwa nini wasiweke Men na Women tofauti?
8. Best Music Video:
Kendrick Lamar - Humble (winner)
Beck - Up All Night
Jain - Makeba
Jay Z - The Story Of O.J.
Logic Featuring Alessia Cara & Khalid - 1-800-273-8255
Hapa pia sidhani kama kuna cha kujadili.
Yeyote anayedhani Jay Z alistahili tuzo aseme ni tuzo ipi angepewa.
Best rap album of the year na album of the yeat zile kanyimwa wazwaz
Jay z kawekwa tu kwa heshima ya u legend but kwenye kuchukua tuzo mm sikufikiria kabisa kama ataokota hata moja esp kwenye album yake ilikuwa too personal sana wala haina social impact yoyote maybe nyimbo ya the story of Oj hata yeye alijua hivyo hawez chomoka kwa King Kunta napenda sana nisikie his opinion about thisYeyote anayedhani Jay Z alistahili tuzo aseme ni tuzo ipi angepewa.
Jay z kawekwa tu kwa heshima ya u legend but kwenye kuchukua tuzo mm sikufikiria kabisa kama ataokota hata moja esp kwenye album yake ilikuwa too personal sana wala haina social impact yoyote maybe nyimbo ya the story of Oj hata yeye alijua hivyo hawez chomoka kwa King Kunta napenda sana nisikie his opinion about this
..
4:44 ni classics album imeeleza maisha harisi kabsa they alvohustle, hasa story of oj akiwahimiza vijana wa kimarekani hasa weusi wawekezi kwenye mijengo tofauti na kula bata,,, ni album ya kiutuuzma zaidi,,, ukzungumzia DAMN hyo habar nyngne kbsa,,, album imeenda double platinum na kuwa certified na RIAA,,, so Kendrick Lamar kumgalagaza Hovva Ilkuwa given kabsa,,, DAMN album haufoward ngoma hata mojaJay z kawekwa tu kwa heshima ya u legend but kwenye kuchukua tuzo mm sikufikiria kabisa kama ataokota hata moja esp kwenye album yake ilikuwa too personal sana wala haina social impact yoyote maybe nyimbo ya the story of Oj hata yeye alijua hivyo hawez chomoka kwa King Kunta napenda sana nisikie his opinion about this
..
Family feud ilistahili 100 percent bonge la meseji sana sana
Hiyo ngoma naielewa sana hasa pale anasema4:44 ni classics album imeeleza maisha harisi kabsa they alvohustle, hasa story of oj akiwahimiza vijana wa kimarekani hasa weusi wawekezi kwenye mijengo tofauti na kula bata,,, ni album ya kiutuuzma zaidi,,, ukzungumzia DAMN hyo habar nyngne kbsa,,, album imeenda double platinum na kuwa certified na RIAA,,, so Kendrick Lamar kumgalagaza Hovva Ilkuwa given kabsa,,, DAMN album haufoward ngoma hata moja