tonicimmobility
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 493
- 1,038
Wakizungumza kwa nyakati tofauti leo Oktoba 24, 2025 baadhi ya wasanii wa Maigizo wamewatoa hofu wananchi ili wajitokeze kwa wingi katika vituo vya kupigia kura kwa kuwa Serikali imejipanga na kuwahakikishia wananchi hali ya amani na utulivu katika kipindi hiki cha Uchaguzi. Wamesema, tarehe 29 Oktoba ni siku muhimu kwa kuwa ni fursa pekee ya kuchagua Viongozi wanaowataka.
Soma pia: Muliro: Oktoba 29 mkajitokeze kupiga kura bila Hofu
Soma pia: Muliro: Oktoba 29 mkajitokeze kupiga kura bila Hofu