Baadhi ya Wanawake wa Kingoni badilikeni

Baadhi ya Wanawake wa Kingoni badilikeni

Papillon 1906

Senior Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
117
Reaction score
387
Baadhi ya wanawake wa kingoni nahisi wana umeme mdogo kichwani sio kwa ubaya ni katika kujenga.

Ukioa binti wa kingoni changamoto sana ni malimbukeni na wanatamaa ya vitu vidogo, kuna mmoja hapa katoweka ghafla kwa mume wake bila taarifa yeyote. baada ya mume kufuatilia kiundani kumbe mwanamke kaolewa na bwana mwingine.

Mume kaenda ukweni kueleza kuwa mke wake katoweka bila mawasiliano yeyote, kumbe wazazi wame muozesha binti yao kwa mwanaume mwingine bila kufuata utaratibu wa talaka na kadhalika.

Chanzo kwamba huyu bwana hakumalizia mahali hivyo kuna bwana katokea na kutoa mahali yote na kachukua jiko.

Ndugu zangu wanaume msioe kwa mahali nusu kwa kuahidi kumalizia baada ya muda fulani utafedheheka na kudharirika.
 
Sasa ni wanawake wote wa kingoni?

Wote wanaochana mitaani ni wangoni?

Hebu shika adabu yako asee. Ongelea huyo huyo changu wenu
 
Story ya upande mmoja lazima mtoa malalamiko awe ndio malaika...
Ndio maana mahakamani huwa wanasikiliza pande zote mbili.
 
Baadhi ya wanawake wa kingoni nahisi wana umeme mdogo kichwani sio kwa ubaya ni katika kujenga.

Ukioa binti wa kingoni changamoto sana ni malimbukeni na wanatamaa ya vitu vidogo, kuna mmoja hapa katoweka ghafla kwa mume wake bila taarifa yeyote. baada ya mume kufuatilia kiundani kumbe mwanamke kaolewa na bwana mwingine.

Mume kaenda ukweni kueleza kuwa mke wake katoweka bila mawasiliano yeyote, kumbe wazazi wame muozesha binti yao kwa mwanaume mwingine bila kufuata utaratibu wa talaka na kadhalika.

Chanzo kwamba huyu bwana hakumalizia mahali hivyo kuna bwana katokea na kutoa mahali yote na kachukua jiko.

Ndugu zangu wanaume msioe kwa mahali nusu kwa kuahidi kumalizia baada ya muda fulani utafedheheka na kudharirika.
Naona km kids sii la huyo mke mwenyewe,hata wazazi wake
 
Sioni hilo kuwa, nitatizo la kikabila bali ni tatizo la mtu binafsi, linaloweza kufanywa na mtu wa kabila lolote.
Ndiyo maana sisi wazee wa zamani tunakumbuka wimbo wa wa washirika stars, penzi la kusuasua.
asisi vijana wa kipindi hicho tulikua tunawaita jina mtindo wao, yaani, watu njatanjata, sisi tunaita kwa ufupi NJATA.
 
Back
Top Bottom