Wahindi wako vizuri sana kwenye "Financial Literacy" na wengi wanasurvive sababu ya Generational Wealth a.k.a Old Money hivyo viduka wengi vipo kwa ajili ya kuwakeep busy tu lkn mpunga mrefu walitafuta Babu zao na umewekezwa kwenye Bonds na Biashara mbalimbali kubwa za Ukoo nk. Waswahili tuna mambo mengi sana ya kujifunza toka kwa hawa wenzetu, Chuki dhidi yao haitatusaidia na tunazidi kuwa Duni sababu ya Chuki na Roho Mbaya Miongoni mwetu. Binafsi nimewahi fanya kazi na wahindi na walikiwa wananilipa vizuri tu kutokana na kazi niliyokuwa nawafanyia. Usitegemee kuwa mvivu na goigoi alafu ufanye kazi na Muhindi na asikudharau. Waswahili tuna matatizo sana lkn hatutaki kujikubali tutaishia kujenda chuki zisizo na msingi.
Tubadilike!
Yes na wengine Business tuu..jamaa ni fighter sanaa na wanajua kutunza pesa na umakini kwenye matumizi.Hao babu zao walifaidika kwa kuachiwa mali na ardhi na wakaloni sababu wahindi were deemed second class citizens baada ya wakoloni wenyewe.
Na wanaopokea hiyo rushwa ni nani? Hao hao wahindi tena au??Wahindi sio ndugu zako. Mnapenda sana kuita watu ndugu zenu wakati they despise you.
Wahindi walikua second class citizen enzi za ukoloni hivyo walihodhi mali, ardhi na mifumo baada ya uhuru so they had a head start kulinganisha na watanganyika.
Ni wakwepa kodi na watoa rushwa wakubwa.
Ningekuwa rais wa hii nchi Hawa watu ningewatembezea kibao Cha chini kwa chini Hadi wangeacha ujinga .
Wabaguzi ,wanyonyaji,makatili , washirikina,mafisadi.
Ningefanya revolution of economy wangesepa mmoja mmoja .
Wanajidai watanzania Ila hawana hulka za kitanzania hata
Ukiwakuta Canada na uingereza bana Ni wazalendo wa hzo nchi kweli kweli.
Ningekuwa rais wa hii nchi Hawa watu ningewatembezea kibao Cha chini kwa chini Hadi wangeacha ujinga .
Wabaguzi ,wanyonyaji,makatili , washirikina,mafisadi.
Ningefanya revolution of economy wangesepa mmoja mmoja .
Wanajidai watanzania Ila hawana hulka za kitanzania hata
Ukiwakuta Canada na uingereza bana Ni wazalendo wa hzo nchi kweli kweli.
Habari wana JF,
Kuna hawa wenzetu wafanya biashara wa kihindi ambao wana flem za maduka katikati ya miji miaka na mikaka unamkuta kakomaa sehem moja ahami wala biashara yake haikui ipo vilevile lakini mtu ana survive kama kama kawaida, sijajua hawa watu huwa hawapandishiwi kodi za pango ama vipi, unakuta dukani kwake anauza rula, peni za speedo, pipi toffi, marashi yale ya zamaaani ya buku, tochi za Tiger na zile kadi za birthday, vifutio na vitu vingine vingine ambavyo mtaani vipo kwa wingi tuu.
Cha kushangaza wenzetu hawa kipindi cha likizo anaenda India ama Canada, usafiri mzuri, sasa kuna Tetesi kwamba hawa jamaa ni mabingwa wa kuajast vitu, yaani hata ukifanya kazi kwao, lazima waku-tune kidogo ili mambo yao yaende sawa....
Kingine udhalilishaji, aisee niliwahi kuomba kazi ktk duka moja pale mnara wa saa Posta (clock tower) nikaacha siku hiyo hiyo, unatumwa na matusi juu na kila muhindi anayekuja hapo ni bosi wako, nakumbuka mmoja nilimtia vitasa na kazi nikaacha ndani ya masaa manne....
Kama yupo anayewafahamu hawa ndugu zetu vizuri naye atiririke hapa.
Fursa za kiuchumi wanachukuwa wageniWanachukia nn sasa?
Una uhakika mkuuKila familia ya kihindi lazima ina mtoto zezeta.
Unaweza hilo??
Ushafika India? Ama kufanya kazi na jamii za kihindi? Pengine bado haujajua maana ya ubaguzi wewe
Ukweli mchungu,tuvumiliane tu..tunabaguana kimakabila.. sembuse mtu mwenye rangi ya ngozi tofauti..wabongo ni wabaguzi sana, tunatiana aibu kwa kweli
Ukweli mchungu,tuvumiliane tu..tunabaguana kimakabila.. sembuse mtu mwenye rangi ya ngozi tofauti..
Tunavyojua kunyooshea watu vidole,kana kwamba sisi tuko perfect..
Kuna watu tunajiona kuwa na ngozi nyeusi inatupa uhalali wa kuhukumu wengine na kuona kama hapa sikwao, wakati unaweza kuta watu hao wapo vizazi na vizazi tangu karne ya 19..
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Hakuna anaeyewachukia wahindiWakuu mbona mna hasira sana na hawa watanzania wenzetu!
Hawa ni ndugu zetu hawana pengine wanapo pajua kama kwao ila ni hii hii Tanzania ya East Africa. Hata wakiwa nje ya Tanzania kama watanzania wengine wakipata likizo huja nyumbani Tanzania kusalimia wazee, ndugu, jamaa na marafiki.
Pia wakiwa nje ya nyumbani Tanzania hujitambulisha kwa fahari kabisa kuwa ni East African Asian toka Tanzania. Kumbukeni kuna West Indies Asian kule Barbados n.k kuna wa kule Durban South Africa n.k
Indian sub continent "kwao" ni sehemu wasioijiua na pia hawa watanzania wenzetu wa asili ya kihindi huchukiwa sana na wale tunaowaona wanafanana naona toka India proper.
Ugumu wa maisha usitufanye tuwachukie ndugu zetu na kuwabagua, hawa ni wenzetu kabisa kama makabila mengine zaidi ya 120 Tanzania.
Kama imetokea kuwa wengi wapo mijini tena mjini kati hiyo ni kutokana na historia kama vile ukikuta waManyema wengi wanaishi mjini kati Dsm au watoto-wa-mjini familia zao zipo mjini siku nyingi na ndiyo "kwao".
Hii siyo kosa lao ni historia tu kama wadau wengine walivyoeleza kuhusu dola ya utawala wa kikoloni au serikali au biashara , elimu n.k ulivyosambaza watu ulimwenguni / nchini .
Unitag mkuuMkuu andiko lako limenigusa. Hawa jamaa sio kabisa! Naandaa andiko kuhusu hawa watu, nitalishusha hapa!
Wewe unalipa kodi kikamilifu? Tuache uwongo, ni kama tunataka kusema kwamba wahindi wote kwa ujumla wao wangelipa kodi kikamilifu, ndio serikali ingejitosheleza..wakwepa kodi wakubwa ni hawa jamaa halafu wanatudhulumu watz zile nyumba za NHC wamejitawala wao tu unakuta anakaa nyumba ya serikali juu chini duka kote ni bei chee akitoka dukani anapanda gorofani pesa hazipelekwi bank kwenye mzunguko, waliobomolewa nyumba wana hangaika wahindi wanajiachia tu kwenye nyumba za NHC kama vile wao ndio wananchi lengo kuu la zile nyumba imekua tofauti na matumizi, wana lugha chafu za matusi wanyanyasaji wakubwa.