Baadhi ya tweet za Rais Dkt. Magufuli leo twitter katika siku ya kumbukizi ya kifo ya Sokoine

John Pombe Magufuli ni Rais wa ajabu...!!
Rais hajui Kiingereza wala hawezi kujieleza kwa Kiswahili FASAHA si kwa KUANDIKA wala KUZUNGUMZA...!!!Sentensi zimeandkwa kwa kuungaunga kwa Kiswahili cha Kisukuma..(KISWAKISU)....!
Halafu anajiita Dokta na kutamba huku wenzake akiwaona ni vilaza....Phew!
Mkuu kiukweli,
umefanya kosa kubwa sanaa kwa kuandika maneno haya ,kwa upande wangu sijafurahishwa sanaaa na ulichokiandika hapa na ngoja nikuambie tu kitu hapa usijione uko salamaa kuandika kila kitu kibaya mtandaoni hapa na ukasema kuwa uko safe kiukweli kabisaa unajidanganya kuwa makini kijana.
 
Mkuu kiukweli,
umefanya kosa kubwa sanaa kwa kuandika maneno haya ,kwa upande wangu sijafurahishwa sanaaa na ulichokiandika hapa na ngoja nikuambie tu kitu hapa usijione uko salamaa kuandika kila kitu kibaya mtandaoni hapa na ukasema kuwa uko safe kiukweli kabisaa unajidanganya kuwa makini kijana.

dottoz,
Kama kuandika ukweli ndiyo kuandika kitu kibaya ni sawa. Hoja imetokana na andishi la Twitter toka kwa JPM...Hapa sijatukana mtu.....!Kosa liko wapi??
 
But, he is quite the opposite to Sokoine!! Siyo msema kweli, anapamba rushwa na ufisadi, na ananyonya wanyonge.
 
Ukikosoa hapo jihesabu wewe ndo umekosea kufikri.
Kila mara namkosoa Magufuli kwa kuharibu Kiswahili, lakini kuibwa (kama lilivyotumiwa hapa) ni Kiswahili sahihi.

Na mara nyingi watu huchanganya kuibwa na kuibiwa.

Mali zinaibwa, mtu anaibiwa mali.

Rasilimali zinaibwa, Watanzania wanaibiwa rasilimali.

Mimi si mshabiki wa Magufuli, lakini ni mshabiki wa Kiswahili fasaha.

Katika hili kosa liko wapi?
 
"TUNAPOAZIMISHA"
Rais kukoseakosea hovyo hata kwenye uandishi tu inaleta ukakasi! Haoni humu Jf tunavyopiga vita matumizi mabovu ya lugha ya Kiswahili?
 
Tweet ya tukio la namna hii linalomhusu aliyekua kiongozi wa kitaifa inakuaje rais anatajataja tu jina la marehem bila kutaja wadhifa aliokua akiutumikia, ....??

Ukiwa na mindset ambayo ni "village based" unaona kama kila mtu duniani hapa ni mwananzengo tu ndo maana mambo makubwa yanazungumzwa na mtu mkubwa but unfortunately in a very local design
kwani wewe hujui wadhifa aliyo kuwa nao mtajwa hapo kwa tweet ya Mr President? Kama hujui ni wajubu wako kufatilia.
 
Tweet ya tukio la namna hii linalomhusu aliyekua kiongozi wa kitaifa inakuaje rais anatajataja tu jina la marehem bila kutaja wadhifa aliokua akiutumikia, ....??

Ukiwa na mindset ambayo ni "village based" unaona kama kila mtu duniani hapa ni mwananzengo tu ndo maana mambo makubwa yanazungumzwa na mtu mkubwa but unfortunately in a very local design
Matendo yake yanamsadifu marehem..ye hajataka kuzungumzia wadhifa..hayo tafuta mwenyewe..ye alitaka kuzungumzia aina ya mtu, sifa yake na matendo..ambapo naweza kuwa Mimi au wewe pia au awaye yeyote mwingine..
 
iyo tweet ya pili Sizonje bana "tunapoazimisha" .

Hata hivyo he's not my president
Aina ya watu wanaomuunga mkono huyu jamaa wanafanana naye akili.
yaani badala ya kuandika "Tunaadhimisha" A head of state unaandika,"Tunaazimisha".
Siye wa darasa la saba kumbe tunafaa kuwa maprezdaa.
 
..moja ya sifa kuu ya sokoine ilikuwa hana unafiki kwenye kila analofanya...jambo ambalo hakuna kiongozi hata mmoja leo asiye mnafiki...ukiondoa mh. Tundu Lissu waliyempiga risasi kwa kuwa tu aliacha unafiki na kuusema ukweli kama ulivyo....
 
Back
Top Bottom