Hili bandiko kaandikiwa, kama ni yeye Kweli aandike kwa Kiingereza, Kiingereza chake tunakijua, watch itRais Dkt Magufuli Atoa Neno Katika Siku Ya Leo Ambapo ni kumbukumbu ya kifo cha aliekuwa waziri mkuu sokoineView attachment 742272View attachment 742273View attachment 742274
Vitu huibwa, watu huibiwa, kitu hakimiliki kitu hivyo hakiwezi kuibiwa. Fikiri kabla haujaandika.Kuibwa
iyo tweet ya pili Sizonje bana "tunapoazimisha" .Rais Dkt Magufuli Atoa Neno Katika Siku Ya Leo Ambapo ni kumbukumbu ya kifo cha aliekuwa waziri mkuu sokoineView attachment 742272View attachment 742273View attachment 742274
Wewe unajibu swali lipi? Maana sijaona mtu aliyeuliza tofauti ya kibwa na kuibiwaVitu huibwa, watu huibiwa, kitu hakimiliki kitu hivyo hakiwezi kuibiwa. Fikiri kabla haujaandika.
Rais Dkt Magufuli Atoa Neno Katika Siku Ya Leo Ambapo ni kumbukumbu ya kifo cha aliekuwa waziri mkuu sokoine
Huyu alikua mtoro vipind vya kiswahili...lol nimecheka jaman mm dahwakati "tunapoazimisha"
Haina shida hilo mkuu ,kwani wewe hujui mpaka leo alikuwa nani sokoine????Tweet ya tukio la namna hii linalomhusu aliyekua kiongozi wa kitaifa inakuaje rais anatajataja tu jina la marehem bila kutaja wadhifa aliokua akiutumikia, ....??
Ukiwa na mindset ambayo ni "village based" unaona kama kila mtu duniani hapa ni mwananzengo tu ndo maana mambo makubwa yanazungumzwa na mtu mkubwa but unfortunately in a very local design
nilijua hiki kipengele kitanaswa.Hii kweli imeandikwa Na Magu Mwenyewe
'... Wakati TUNAPOAZIMISHA..'
Huu kweli Ni muandiko wake
Angalieni sana tweets za kukosoa na za kuacha zipite hivi hivi hata kama kuna cha kukosoa.wakati "tunapoazimisha"
Tweet ya tukio la namna hii linalomhusu aliyekua kiongozi wa kitaifa inakuaje rais anatajataja tu jina la marehem bila kutaja wadhifa aliokua akiutumikia, ....??
Ukiwa na mindset ambayo ni "village based" unaona kama kila mtu duniani hapa ni mwananzengo tu ndo maana mambo makubwa yanazungumzwa na mtu mkubwa but unfortunately in a very local design