Baadhi Ya Dhana Za Masikini kuhusu Pesa.

Baadhi Ya Dhana Za Masikini kuhusu Pesa.

seifutz

Member
Joined
Jul 18, 2021
Posts
34
Reaction score
114
• Fedha ni dhambi.
• Watu wenye fedha ni wabinafsi.
• Ukiwa tajiri hauwezi kumcha Mungu.
• Hata uwe bilionea hauwezi kununua furaha
• Kila mtu hawezi kufanikiwa kifedha kuna wachache tu wameandaliwa n.k
 
.Ni vigumu tajiri kuuona ufalme wa mbinguni kuliko ngamia kupenya tundu la sindano.
.Dunia tunapita wote tutaondoka Kama tulivyokuja Mali tunaziacha.
. Usingizi ni ule ule hata ukilala kwenye majani au ghorofani wote tunakoroma.

Ama kweli Baada ya motivation speaker anayefuata kwa kujifariji ni maskini.

Nani kasema singizi wa kulala kwenye joto,Giza,mbu,kunguni,chawa Huku umekula makande ya kunde. Eti nisawa na kulala kwenye A/C ukiwa umekula kuku kwa juice.
 
• Fedha ni dhambi.
• Watu wenye fedha ni wabinafsi.
• Ukiwa tajiri hauwezi kumcha Mungu.
• Hata uwe bilionea hauwezi kununua furaha
• Kila mtu hawezi kufanikiwa kifedha kuna wachache tu wameandaliwa n.k
Hakuna watu wenye vinyongo, chuki, wivu na hasira na waliokata tamaa kama maskini vitendo vyote hivyo ni Chukizo mbele za Mungu
 
• Fedha ni dhambi.
• Watu wenye fedha ni wabinafsi.
• Ukiwa tajiri hauwezi kumcha Mungu.
• Hata uwe bilionea hauwezi kununua furaha
• Kila mtu hawezi kufanikiwa kifedha kuna wachache tu wameandaliwa n.k
Point ya nne ni kweli kabisa
 
UTASIKIA....
*pesa ni za shetani
*hua hawafanikiwi hivi hivi
*Ukitaka utajiri lazima uchague kua mtu wa shetani.
*tajiri akifiwa katoa kafara
*ukiyumba kiuchumi kakosea masharti
hasa maskini wa fikra hawa ndo wapuuzi zaidi maana huamini mambo mazuri ni ya shetani sijui mungu hawezi anashindwa kubariki akati yeye ndo mmiliki wa vyote
 
UTASIKIA....
*pesa ni za shetani
*hua hawafanikiwi hivi hivi
*Ukitaka utajiri lazima uchague kua mtu wa shetani.
*tajiri akifiwa katoa kafara
*ukiyumba kiuchumi kakosea masharti
hasa maskini wa fikra hawa ndo wapuuzi zaidi maana huamini mambo mazuri ni ya shetani sijui mungu hawezi anashindwa kubariki akati yeye ndo mmiliki wa vyote
Safi sana
 
• Fedha ni dhambi.
• Watu wenye fedha ni wabinafsi.
• Ukiwa tajiri hauwezi kumcha Mungu.
• Hata uwe bilionea hauwezi kununua furaha
• Kila mtu hawezi kufanikiwa kifedha kuna wachache tu wameandaliwa n.k
 
• Fedha ni dhambi.
• Watu wenye fedha ni wabinafsi.
• Ukiwa tajiri hauwezi kumcha Mungu.
• Hata uwe bilionea hauwezi kununua furaha
• Kila mtu hawezi kufanikiwa kifedha kuna wachache tu wameandaliwa n.k
Labda wewe ndio unaamini hivyo
 
Hebu tuacheni na umaskin wetu bwana au tuwaroge mfilisike fyuuuu[emoji125][emoji125]
 
Back
Top Bottom