Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,921
- 110,354
manji ni mwarabu na ndiye aliyehongwa ile mechi na waarabu wenzie...
Hivi jina Manji unaona asili yake ni Uarabuni?
manji ni mwarabu na ndiye aliyehongwa ile mechi na waarabu wenzie...
Cjui kama Wachezaji wa Yanga wanajua ni kwa kiwango gn wametusononesha Watanzania wenye mapenzi na nchi yetu,cjui...
Ingekuwa vema baada ya kurudi wangeitisha Press kututaka radhi...tunafahamu kuwa mchezo wa mpira wa miguu una matokeo ya aina 3 lkn ni kwa namna gn wame'fall ktk 1 ya matokeo haya ndo tunacholalamikia
Watanzania
Muulize John Terry final UEFA na Roberto Baggio Final ya Kombe la Dunia au Bastian Schweinsteiger final za UEFA na Abuubakar Salum SURE BOY Kagame Cup Final Zanzibar. Jinsi penati ya mwisho inavtokuwa kaa la moto
Poleni ndala
usifanye mambo kwa mazoea mkuu. Unaposeama yanga ilikuwa akiwango kwa mechi zote mbili unamaanisha nini? Sina uhakika kama jana umeangalia mpira. Maneno haya yaonyesha dhahiri kwamba uliangalia mechi roho ikiwa si yako kwa muda. Mi niliona mmekimbizwa sana sasa sijui hii tahmini umeipata wapi. mechi ya mwanzo jamaa walijua walichokuwa wakikifanya mkatawala karibu dakika 80 za mchezo. Jipangeni mwaka huu mchukue ubingwa kisha mkaishie round ya pili kama kawaida yenu mwakani kukiwa na angalizo kuwa mwaweza anza na waarabu tena.
Mwakani kama hawajaanza na Tp mazembe au Esperance sijui
Ivi nyie mamburura mburura mnao isema yanga mwatoka msitu wanchi gan? Conco, brazil au vietnam...? Mburura nyinyi.
Kwa kweli inasikitisha na inakatisha tamaa..., Al Ahly walikuwa weupe na wabovu kabisa!! Yanga wanakikosi kizuri na bora lakini mbinu na umakini ni zero... Kikosi hiki na mazingira kama haya wangekuwa Simba tungekuwa tunazungumza mengine sasa hivi...!!
Tatizo la YANGA ni uongozi kuendeshwa kwa porojo za kwenye magazeti badala ya kujiwekea mikakati ya ushindi uwanjani... Wamemsakama Bin Zubeiry na kuwatangazia wanaYanga wasusie blog yake, kisa amewaandika vibaya!!!? Upuuzi kama huu hutasikia hata siku moja kwa viongozi wa Simba!!
Maneno ya mkosaji ,mpira hauchezwi magazetini kajipangeni upya. REST IN HELL YANGA.
Mi nahisi LABDA kuna maarifa nje ya uwanja yalifanyika either tulihongwa au sijui nini,
Poleni ndala
Maneno ya mkosaji ,mpira hauchezwi magazetini kajipangeni upya. REST IN HELL YANGA.
Watu wagumu kuelewa nyie ! mfadhili wenu alisema mpeni uenyekiti alipize MKONO kwa Simba ! Kawekeza mamilioni kw asababu hiyo leo mnataka nini tena! Kuwafunga AHLY,AU COMMOROZINE HAIKUWA KWA TARGET ZAKE ,NI CONCIDENCE TU!hATA HIVYO BAHATI HII YA MTENDE HAMTAIPATA TENA NA IKIZINGATIE MWISHO WA HIMAYA NA MONOPOLY YENU YA USANII KWENYE SOKA LA BONGO NI OCTOBER 2015! jANA NIMELALA USINHGIZI MZURI SANA !Yanga imetolewa kwa penalt na bingwa mtetezi Al-Ahly ya Misri katika mazingira ambayo wenyewe walikuwa na nafasi kubwa sana ya kuvuka,kwasababu zifuatazo:-
1. Binafsi ninaamini ki'viwango Yanga ilikuwa vizuri kuliko Al-Ahly, mechi zote 2 ya Dar-es-salaam na ya Misri zinathibitisha hilo.
2. Kisaikolojia walikuwa vizuri kuliko wapinzani wao kwani katika mechi 5 za mwisho kabla ya mechi ya leo Yanga walikuwa wameshinda zote ukilinganisha na wapinzani wao walioshinda 1,wakadroo 1 na kufungwa 3,kwahiyo spirit ya ushindi ilikuwa imewaweka vizuri zaidi Yanga kuliko Al-Ahly.
3.Katika msimu huu Yanga imekusanya wachezaji wote makini ambao team ya level yake ingehitaji kuwa nao,wachezaji ambao wangetosha kuiweka Club yao kwenye ramani ya soka la Africa just kwa kumtoa bingwa mtetezi tu.
4.Financially Yanga iko vizuri,wanapata kila kitu wanachohitaji kutoka kwa Viongozi wao ikiwemo mishahara kwa wakati,posho kwa matokeo mazuri na maandalizi yanayoeleweka,kambi ya Uturuki ni uthibitisho wa hili, ukilinganisha na wapinzani wao ambao inasemekana wamechoka kweli.
5.Walikuwa na akiba ya ushindi wa nyumbani wa goli 1-0
6.Kuwang'oa Waarabu wanaosadikika kuweka record fulani ya Dunia kungewafanya wachezaji wa Yanga kuwa gumzo hivyo kuwa kwenye nafasi ya kijiweka sokoni zaidi kuelekea kwenye soka la kimataifa.
Inasikitisha sana kuona team yenye kila kitu inashindwa kuvuka kikwazo cha team isiyo kwenye kiwango kama ya Al-Ahly hii ya sasa hivi,uzembe,uzembe,uzembe....
Kwanini uzembe:-
1. Kwajinsi Al-Ahly walivyocheza game ya Dsm,Yanga walikuwa na uwezo wa kupata ushindi wa zaidi ya goli moja...umakini zaidi na ufahamu wa kutambua umuhimu wa ushindi wenye afya unapocheza nyumbani ulikuwa unaweza kuwapatia Yanga ushindi wa si chini ya magoli ma'3 siku ile,magoli mawili tu yangetosha kuwang'oa waarabu.
2.Katika mechi ya muhimu kama ile...mpinzani wako anatangulia kukosa penalt mara 2,mara zote na wewe unakosa ku'equalize ni uzembe unaosikitisha sana.
3. Nk,nk
Ninapata mashaka, kwa kushindwa kuwang'oa Waarabu mwaka huu inaweza kupita miaka hata 50 kwa Yanga kuja kuwatoa Waarabu kwenye mashindano ya kimataifa.
Xssyyyyzzzzzuu!!!!!!!!