Baada ya vyuo kufungiwa, shule binafsi kufata

Baada ya vyuo kufungiwa, shule binafsi kufata

Casuist

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2014
Posts
1,189
Reaction score
2,971
Baada ya Wizara ya elimu kupitia NACTE kukagua vyuo na kufungia baadhi ya vyuo, zoezi hilo kuhamia Shule binafsi kupitia ukaguzi na uthibiti wa ubora wa shule.

Kila nikizifikiria shule zinazoendeshwa huku zikiwa ICU, hili panga litakuwa kubwa zaidi. Shule za serikali zilizokuwepo kama hazipo, wataguswa! Na huu mchakato wa ulazima wa sayansi wakati watu hawana maabara! Balaa linakuja!
 
Baada ya Wizara ya elimu kupitia NACTE kukagua vyuo na kufungia baadhi ya vyuo, zoezi hilo kuhamia Shule binafsi kupitia ukaguzi na uthibiti wa ubora wa shule.

Kila nikizifikiria shule zinazoendeshwa huku zikiwa ICU, hili panga litakuwa kubwa zaidi. Shule za serikali zilizokuwepo kama hazipo, wataguswa! Na huu mchakato wa ulazima wa sayansi wakati watu hawana maabara! Balaa linakuja!
Bahati mbaya kwa level ya primary na secondary hatuna chombo huru kama TCU cha kufanya maamuzi kama hayo. Sasa usione ajabu wakakomalia shule za binafsi na serikali zilizo hoi zika achwa. Muda muafaka umefika tupate TCU/NACTE ya shule za primary na secondary.
 
Bahati mbaya kwa level ya primary na secondary hatuna chombo huru kama TCU cha kufanya maamuzi kama hayo. Sasa usione ajabu wakakomalia shule za binafsi na serikali zilizo hoi zika achwa. Muda muafaka umefika tupate TCU/NACTE ya shule za primary na secondary.
PRIMARY & SECONDARY ZIKO CHINI YA NECTA
 
Baada ya Wizara ya elimu kupitia NACTE kukagua vyuo na kufungia baadhi ya vyuo, zoezi hilo kuhamia Shule binafsi kupitia ukaguzi na uthibiti wa ubora wa shule.

Kila nikizifikiria shule zinazoendeshwa huku zikiwa ICU, hili panga litakuwa kubwa zaidi. Shule za serikali zilizokuwepo kama hazipo, wataguswa! Na huu mchakato wa ulazima wa sayansi wakati watu hawana maabara! Balaa linakuja!
Mmmmh Mbona shule binafsi ziko vizuri ukilinganisha na zile za umma mkuu?
 
Back
Top Bottom