Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 16,622
- 31,135
Wameanza kuitumia lini na SOYUZ wameacha kuitumia lini ?!Na hii space X ya juzi ilioacha dunia ambayo ni usable rocket nayo ni Tech ya Mrusi???
Wameanza kuitumia lini na SOYUZ wameacha kuitumia lini ?!Na hii space X ya juzi ilioacha dunia ambayo ni usable rocket nayo ni Tech ya Mrusi???
Wanaweka 5G kwa ajili ya viwanda vinavyotumia internet connection ya fastest. Sasa Tanzania mnataka 5g kwa ajili ya Facebook, Instagram, Twitter, youTube. Shame on youAnaotaka kuwawekea hawamtaki sasa. Aje huku kwetu aweke hata 100G, kwanza hata hatufahamu ni nini, ata akiweka 1G nani atahoji, aache kulazimisha asipotakiwa. Mbona sisi tunawapenda wachina ni marafiki zetu, why hawaji Tanzania na hiyo 5G yao.
Hahaha shame on us, hatuna viwanda unadhani Facebook, na Instagram hazihitaji fast internet?!Wanaweka 5G kwa ajili ya viwanda vinavyotumia internet connection ya fastest. Sasa Tanzania mnataka 5g kwa ajili ya Facebook, Instagram, Twitter, youTube. Shame on you
Wewe kingwendu nn? Ingia Google services uone lengo la 5G. Sio unabwabwaja na mapombe machafu yako apaHahaha shame on us, hatuna viwanda unadhani Facebook, na Instagram hazihitaji fast internet?!
Hahaha punguza hasira, hii JF hatupewi vikombe vya ushindi, kama unajua unajua tu. Hongera sana boss.Wewe kingwendu nn? Ingia Google services uone lengo la 5G. Sio unabwabwaja na mapombe machafu yako apa
🤣 🤣🤣🤣 Hicho sicho kipaumbele chao, wao ni kuumaliza kabisa upinzani ndio the topagenda.Hapa tuna cha kujifunza,jiwe inabid awape bajet majasus wetu waende China na us waende kuiba tech ya kutengeneza beli na jinz ukizingatia tuna raw material ya kufa mtu.