Lowassa akiwa kwa chairman Hamis Mgeja Shinyanga ni sawa yupo Monduli juu, akina Lembeli wanatafuta blanket kwenye Jua la Utosi, kumkataa Lowassa ni kugomea Matokeo ya Uchaguz Mkuu! Hata kura Zikipigwa na Bavicha peke yao Lowassa lazima aibuke Kidedea!