Baada ya siku ya ndoa yangu

Kibebi hiyo kesho nakuombea na iwe usiwe kama Mzizi mkavu,eddy kafia kifuani hata atuambii wanaMMU tupeleke hata rambirambi
 
Kibebi story yako tunataka tuitungie filamu, unafkiri jina gani tuitee??
 
Scene ya kaburini inaumiza kwakweli

Scene ya mapenzi inasisimua na kuhamasisha


Hao kaka zake Sheila haoo
 
Ila kibebi sijaelewa huyo Robi ameingiaje hapo?? hebu tuweke barabarani..
 
We kibebi umeenda wapi jamani??? kuja hapa malizia hadithi yako...
 
hakika tamu, ila nna waswas huyu kibebi ni msanii wa filamu za bongo!
 
 
Mkuu! hujui kuandika stori, yaani mistari miwili tu nimechoka kusoma! hebu jipange vzr!!!
 
kibebi umeuza wenzio grupuni wewe

Mtenda akitendewa huhisi kuonewa. Mle mbona mnasoma vya wengine kutoka sehemu nyingine? kutoka sintah, mama uturn, mbutananga nakadhalika? Maadili yamezingatiwa kwani sijataja jina halisi la mtu. Kutaja chanzo ni kumtaja mhusika swala ambalo si sahihi nitakuwa nimemuanika hapa. Muwe fair kiasi flani.

Nitarudi baadae- 私は後で戻ってくる
 
Pole sana mama....i can't imagine kuna watu kama hawa dunia hii??

Trust in Lord,Verily his all Knower:disapointed:
 
ulichofanya sicho


Ingawa umejizolea umaarufu jf





 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…