Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,420
- 40,407
Nimetoka 'out' na huyu bibie mfanyabiashara wa madini; baada ya kuingia kiwanja cha kwanza, tukapiga pombe kama bia 3 kila mmoja, tukahamia kiwanja kingine, pale tukapiga bia kama 5 kila mmoja, pamoja na kuku 2 wa kuchoma.
Baada ya hapo, tukaenda mapumzikoni; nikapiga shoo ya uhakika, anapiga kelele mimi nachochea ukuni tu; baada ya shoo hataki kuongea na mimi, kwa sababu nimemchosha kwa kutumia muda mrefu, akasema hataki kwenda nyumbani tena, anataka aende club.
Baada ya kumpeleka club, hataki kuongea na mimi kabisa kwa sababu anasema sina huruma nilitaka kumkomoa.
Ikabidi tutengane meza, akawekewa vinywaji vyake, nami nikachukua vya kwangu huku nikiangalia mieleka wwe, pamoja na warembo wazuri wanavyosakata rumba.
Baada ya kumaliza vinywaji vyangu; nikalipia bill pamoja na kumpa hela kidogo ya tahadhari ili awe huru.
Nimeondoka sasa hivi nimemuacha club, akiamua kugongwa na wengine ni yeye tu; mi namtafutia sababu ya kuachana naye, kwa sababu michakato ya biashara yake inanichanganya.
Wakuu niko sahihi?
Baada ya hapo, tukaenda mapumzikoni; nikapiga shoo ya uhakika, anapiga kelele mimi nachochea ukuni tu; baada ya shoo hataki kuongea na mimi, kwa sababu nimemchosha kwa kutumia muda mrefu, akasema hataki kwenda nyumbani tena, anataka aende club.
Baada ya kumpeleka club, hataki kuongea na mimi kabisa kwa sababu anasema sina huruma nilitaka kumkomoa.
Ikabidi tutengane meza, akawekewa vinywaji vyake, nami nikachukua vya kwangu huku nikiangalia mieleka wwe, pamoja na warembo wazuri wanavyosakata rumba.
Baada ya kumaliza vinywaji vyangu; nikalipia bill pamoja na kumpa hela kidogo ya tahadhari ili awe huru.
Nimeondoka sasa hivi nimemuacha club, akiamua kugongwa na wengine ni yeye tu; mi namtafutia sababu ya kuachana naye, kwa sababu michakato ya biashara yake inanichanganya.
Wakuu niko sahihi?