Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,045
- 10,329
kongwa hawana mbunge
Familia inajua kwa sasa nani ni msaada kwao nyie endeleeni kuongea kwenye TV kusubiri barua yenu ya posa wengine tupo Nairobi tukiuuguza.Serikali ilipotaka kwanza apitie.muhimbili ni familia iliyosema itakuwa comfortable ikimpeleka ndugu yao...! Kwa hiyo ni famiia yenyewe ndiyo inaweza kuamua kama ina hitaji msaada wa serikali au lah..
umeulizwa mke wake aliandika barua serikakini kuomba msaada? wewe unajibu alianzia muhimbili. watu wa aina yako ndio huwa mnafeli mitihani kwa kujibu usichoulizwa.Kwani spika hakuanzia Muhimbili?
Kumbe kosa la Lissu ni kuwa na mke! Sawa basi mh supika tumekuherewa (kwa kihaya).Lema nani alikwambia kuwa Spika ana mke? Ina maana hujui au umejiulizisha tu?
Aache maswali ya kijinga kwani spika wa bunge ni sawa na lisu
umeelewa swali kijana?Serikali ilipotaka kwanza apitie.muhimbili ni familia iliyosema itakuwa comfortable ikimpeleka ndugu yao...! Kwa hiyo ni famiia yenyewe ndiyo inaweza kuamua kama ina hitaji msaada wa serikali au lah..
machoKWANI LISU ANAUMWA NINI?
Ndugai na yeye anaumwa nini??KWANI LISU ANAUMWA NINI?
Nani kakulazimisha kufuatilia ya Lissu, kwanini usifuatilie maajabu ya dunia ya ujenzi wa ukuta mererani.Nyie wapuuzi mmetuchosha kwa kiki zenu .
Pigeni dili za michango mle mlale
Nia yangu ilikuwa ni kumkubusha Lema kuwa huyo supika hata mke mwenyewe hana.Kumbe kosa la Lissu ni kuwa na mke! Sawa basi mh supika tumekuherewa (kwa kihaya).
Kwani spika hakuanzia Muhimbili?
Kwanini India.Ninyi wenyewe ndo mlivuruga utaratibu wa serikali ilipotaka impeleke India mkasema hapana tunaomba tumpeleke nairobi. Lema acha bangi!
Acheni uzwazwa na kupelekeshwa na wanasiasa kama mapimbi msiojitambua. Hoja za Lema ni nyepesi sana. Lissu alitakiwa kupata rufaa kutoka muhimbili kama ambavyo viongozi wote aliowataja hapo juu walivyofuata huo utaratibu. Ndugai alifuta huo utaratibu pia na akapata rufaa muhimbili ndo akaenda Nje, hivyo hakukua na haja kwa mkewe au familia kumuombea msaada wa matibabu serikalini wakati alishafuta utaratibu uliomuwezesha kutibiwa nje. Lakini kwa upande wa Lissu, wao CDM wenyewe ndo waliamua kwa hiari yao kufuata utaratibu mwingine kutokana na sababu zao ambazo wamekua wakizitaja kila siku ikiwemo usalama wa mgonjwa n.k. ssa kma uliamua kwa hiari yako Ku opt utaratibu mwingine unaposhindwa unageukaje tena kuilaumu Serikali? Serikali imetoa option kwa familia baada ya kuona chama chake kimegoma kufuata utaratibu ambao ungemuwezesha Lissu kupata matibabu Nje ya nchi huku hali yake bado ikiendelea kuwa critical. Na hata hiyo familia ikiomba bado utaratibu utakua ule ule, lazima taarifa ya madaktari wanaomtibia hivi sasa iende muhimbili ndipo itolewe rufaa ya kumpeleka Nje ya nchi katika hospitali zilizo na mkataba na Serikali au vinginevyo.Swali halijapata majibu, Mwanzo walikataa kumtibia kwa kuwa utaratibu haukufuatwa, Sasa hivi wapo tayari kumtibia!! Je ndo kusema utaratibu umefuatwa ?
Ila ukiweka siasa pembeni,spika uwezo wake ni mdogo snaa
Majibu yalishatolewa na serikali. Ukiwa mlevi na unakunywa kila bar utaibiwa kila siku.Kwanini India.
Serikali ilipotaka kwanza apitie.muhimbili ni familia iliyosema itakuwa comfortable ikimpeleka ndugu yao...! Kwa hiyo ni famiia yenyewe ndiyo inaweza kuamua kama ina hitaji msaada wa serikali au lah..
Ushenzi huo haufai kwa mtz yeyote sembuse na Lissu!! Tofautisha mazingira ya ugonjwa. Ndugai alianza kuugua na madaktari kuanzia bungeni walimuatend na kisha akafuata hizo taratibu za rufaa. Lakini kwa Lissu, ile ilikuwa ni dharura iliohitaji kuokoa maisha na usalama wa mgonjwa, kwa mazingira yale ya kukusudia kumuua yaliokuepo Dodoma huwezi kuwalaumu CDM, kuchukua tahadhari ili mgonjwa wao asiwe sehemu isiyo salama kwa sababu mpaka sasa WASIOJULIKANA hawajasakwa wala hawatapatikana.Kwani spika hakuanzia Muhimbili?
kuna kichwa kimoja kimewashikia akili zao, kwasasa kiko NairobiKuwa chadema lazima uwe kama m
Wehu.
Spika kachangisha hela 42milioni .kaambulia kejeli eti anachangisha hela kama za harusi.
Serikari inataka kumtibu jamaa .wanasema oomwongo waziri haitaki kusaidia .yaani hawana jema sijui wakoje.wao kila kitu ni kutafuta kiki tu..
post of the year, ila kuna kundi linakuja sasahivi kukuogesha matusi, uwe na jumaa njemaAfya ya lissu isiingizwe siasa, serikali na wapinzani wasitafute umaruufu, jambo la msingi familia iangalie ndugu yao apate matibabu wapi vinginevyo hili suala litakuwa siasa tuu, halafu hata serikali ifanye kitu gani kwenye matibabu ya lissu kamwe wapinzani hawatalikubali maana ugonjwa wa lissu ushageuzwa ulingo wa siasa.
Usijifanye husikii kelele za watu kwa mini serikali haisaidii matibabu ya Lissu. Shida yenu hamtaki serikali ijibu mseme ninyi tu.Nani kawaomba msaada?