Baada ya Rais Samia ni zamu ya Mkristo?

Baada ya Rais Samia ni zamu ya Mkristo?

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
11,718
Reaction score
27,812
Wanadai hii haijaandikwa ila inanguvu sana kuliweka taifa pamoja na inalindwa na Baraza la usalama la kitaifa kuwa ni lazima utake usitake unaweza kuita top secret or classified code

Baada ya Nyererea akaja Mwinyi, baada ya mwinyi akaja Mkapa, baada ya mkapa akaja Kikwete, baada ya kikwete akaja magufuli na baada ya kifo cha Magufuli akaja Samia hapa baada ya Samia ni mkristo na hakuna short cut kama unautaka itabidi asubilie ajaye mkristo amalize

Poleni sana watu wa Tanga hii match mmeshindwa mapema labda Wanasingida inaweza ikawa upande wao kipindi hili

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Hapana baada ya samia kumaliza ni muislam coz anamalizia awamu ya mkristo!!

Hii ni awamu ya mkristo inayomaliziwa!!

Mi NADHANI hivyo,

Maoni huru Lakini haya! Ya mlipa kodi asiekwepa!
Kwani ishu ni awamu au mtu kumbuka Samia atakuwa ametawala miaka 9 na miaka 6 ya umakamu inamaana atakuwa amekuwa kwenye urais Kwa miaka 15

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Kwani ishu ni awamu au mtu kumbuka Samia atakuwa ametawala miaka 9 na miaka 6 ya umakamu inamaana atakuwa amekuwa kwenye urais Kwa miaka 15

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Una uhakika kua 2025 atapitishwa yeye!!?au umeshaaongea na Mungu juu ya hatma yake!!?

Subiri KWA saburi Mkuu

Kunako majaaliwa mkuu Mungu ana maajabu yake!!
 
Hapana baada ya samia kumaliza ni muislam coz anamalizia awamu ya mkristo!!

Hii ni awamu ya mkristo inayomaliziwa!!

Mi NADHANI hivyo,

Maoni huru Lakini haya! Ya mlipa kodi asiekwepa!
Awamu ya mkristo ilikuwa ya Tano sasa tupo awamu ya Sita.

Samia anamaliziaje awamu ya Tano ya mkristo?

Kipara abatizwe tu halafu akiukwaa arudi alikotoka.
 
Engekuwa vizuri ukasema ni utaratibu wa kupokezana Wakatoliki na Wasunni.
 
Awamu ya mkristo ilikuwa ya Tano sasa tupo awamu ya Sita.

Samia anamaliziaje awamu ya Tano ya mkristo?

Kipara abatizwe tu halafu akiukwaa arudi alikotoka.
Maika 9 inamtosha sana na ile sita ya umakamu

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Wanadai hii haijaandikwa ila inanguvu sana kuliweka taifa pamoja na inalindwa na Baraza la usalama la kitaifa kuwa ni lazima utake usitake unaweza kuita top secret or classified code

Baada ya Nyererea akaja Mwinyi, baada ya mwinyi akaja Mkapa, baada ya mkapa akaja Kikwete, baada ya kikwete akaja magufuli na baada ya kifo cha Magufuli akaja Samia hapa baada ya Samia ni mkristo na hakuna short cut kama unautaka itabidi asubilie ajaye mkristo amalize

Poleni sana watu wa Tanga hii match mmeshindwa mapema labda Wanasingida inaweza ikawa upande wao kipindi hili

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Wakristo wanaongoza vibaya,ni mtazamo wangu.
 
Ndio.
Huu mfumo ni nzuri katika kuwaweka watanzania pamoja kama watani huku tukiepukana na ajali kubwakubwa ❤️🇹🇿
 
Wanadai hii haijaandikwa ila inanguvu sana kuliweka taifa pamoja na inalindwa na Baraza la usalama la kitaifa kuwa ni lazima utake usitake unaweza kuita top secret or classified code

Baada ya Nyererea akaja Mwinyi, baada ya mwinyi akaja Mkapa, baada ya mkapa akaja Kikwete, baada ya kikwete akaja magufuli na baada ya kifo cha Magufuli akaja Samia hapa baada ya Samia ni mkristo na hakuna short cut kama unautaka itabidi asubilie ajaye mkristo amalize

Poleni sana watu wa Tanga hii match mmeshindwa mapema labda Wanasingida inaweza ikawa upande wao kipindi hili

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Singida shida ni KKKT na inatakiwa roman
 
Zamu ya wasio amini Mungu/ Mungu ni lini?
Zamu ya Marastafari ni lini?

Zamu ya Waamini Mizimu na dini za asili ni lini?

Mtu awe Raisi wa nchi kwa sababu ya uwezo na sio kisa ni dini Fulani au itikadi Fulani.

Kwa sababu kwanza hakuna uthibitisho kama huyo Mungu/ mungu/Mlungu/miungu kuwepo au yupo? au kujilisha upepo tu
 
Back
Top Bottom