Baada ya Polisi Dar Kufuatilia kifo cha Mercy Mukandara, Mumewe Edward Bukombe akili kumuua

for how long?? bora uondoke kabisa ukaanze upya....how come mnaishi one house mnapishana kama korido za shule.....hamuwezani achaneni....
 
WAnaume wengi na wanawake wa kisasa "wanapenda harusi na siyo ndoa na wanafikir ndoa ni "kufanya sex pekee, kumbe ni zaidi ya hapo
 
tuache jeshi la polisi lifanye kazi yake ya uchunguzi, tusiingize hisia ktk kipindi hiki. uchunguzi utasema kweli, tusitende dhambi ya kudhania.
pole kwa wafiwa kwa kumpoteza mpendwa wao.
 
Watu wanajua ndoa ni kugegedana tu,wanawake wanapenda ndoa mana atavuna zawadi...akifika ndani shida zinaanza,mimi mke alikuja na begi la nguo tu kwangu.
Zawadi zote nlimuambia aache kwao isije niletea mazarua leo mwaka wa 8 heshima debe
 
Hapo ndio shida maana kilichofanyika ni hisia zaidi kabla ya uchunguzi wa jeshi la polisi na mbaya zaidi ndugu wamejigawa pande mbili (wa mwanaume na mwanamke ambao wameungana na majirani na wananzengo wengine maana tayari wametoa conclusion). Waache wazee wazima wafuatilie maana damu pekee kuenea kitandani sio ushahidi pekee maana wanatakiwa waone hata hilo jeraha maana mtu akijigonga inajulikana na akipigwa inajulikana pia maana mambo mengine ya damu kutapakaa huwa hata jeraha la kawaida huwa tunachukua vitambaa hata shati lililo karibu na kutumia kumwekea mtu)

Huyo Housegirl na huyo muuaji anaesadikiwa kutenda kosa hilo ndio wana nafasi ya kusaidia upelelezi na sio wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…