johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
- Thread starter
- #21
KwaniAtaongoza chama akiwa nje ya nchi?
Kwani haiwezekani?Ataongoza chama akiwa nje ya nchi?
KwaniAtaongoza chama akiwa nje ya nchi?
Kwani haiwezekani?Ataongoza chama akiwa nje ya nchi?
Hao viti maalumu wanaisaidia nini?!Tofautisha uenyekiti na urais.
Kwa CDM walimpatia Lowasa huku wakijua hawezi shinda urais wakati huohuo wakijua atapata kura nyingi kuliko mtu yeyote ndani ya CDM hivyo wapate viti maalum wengi.
Chama cha majizi,matapeli , magaidi na mafisadiAchana na Chama chenye watu waadilifu, endelea kudili na viongozi wenu matapeli mliopitisha bila kupingwa.
Sasa huyo ni level ya mwenyekiti wa mtaa tuu, ndio maana haishangazi ngazi ya taifa kutapeli kuwa yeye ndiye mkuu wa malaika ajayeView attachment 1266383
Au bora aendelee Mbowe.Mtu yeyote anayependa mambo ya kuhama vyama ni tapeli wa kisiasa mtu makini hawezi kuama chama kwa sababu ya cheo uwenyekiti apewe Lissu au Heche otherwise chama kitapotea.
Kumbe unajijua akili yako imejaa utoko?Ndivys mama Magalemwa alivyokulalamikia kuwa unipeleke baba yako kutahiri!
Ili akawatie faraja Watu wa Kata ya Namajani....?Ndio maana namchukulia fomu Tundu Antipas Lisu!
Kweli kabisa Mkuu...... Hebu ona alichofanya Mwanbe Mbunge wa jimbo la Ndanda.......Alikuwa CCM akaenguliwa kwa kufahamu utendaji wake Mbovu..... Lakini lilipopita Winni la Kisulisuli la Chadema likamzoa na Sasa anaumbuka kwa Vitendo na matokeo yake anataka kuwaaminisha Viongozi wa juu ya kuwa alionewa Kumbe Aaaaaa wapiiiiiiii....... Kweli Dunia ya leo unawawekea wananchi Sinema ya uliyojirekodi na kuwaonyesha Watu kweli na wewe mwenyewe haupo Kama siyo Dharau ni nini...?Mtu yeyote anayependa mambo ya kuhama vyama ni tapeli wa kisiasa mtu makini hawezi kuama chama kwa sababu ya cheo uwenyekiti apewe Lissu au Heche otherwise chama kitapotea.
Umenena vyema mkuuMtu yeyote anayependa mambo ya kuhama vyama ni tapeli wa kisiasa mtu makini hawezi kuama chama kwa sababu ya cheo uwenyekiti apewe Lissu au Heche otherwise chama kitapotea.
Mama Magalemwa anajua vizuri ndio maana hata wewe una hayo mabakamabaka usoni ni utoko huo!Kumbe unajijua akili yako imejaa utoko?
MKUU NIMESKIA NI MILIONI MOJA, au nakosea, hata mm napenda kuchangia japo kiduchuFomu inauzwa milioni tano mkuu
Habari ya mujiini kwa sasa ni kukamatwa kwa ndege yetu kule CanadaKiukweli kabla Rais Magufuli hajafanya ziara mikoa ya Lindi na Mtwara nilimuona mbunge wa Ndanda mh Cecil Mwambe kama kamanda anayeweza kumrithi mkongwe wa siasa za upinzani mh Mbowe.
Lakini baada ya Mwambe kuhojiwa na Rais Magufuli na kukiri kuwa alikuja Chadema kwa bahati mbaya baada ya kura zake kule CCM kwenye maoni kupewa mtu mwingine na yeye kupigwa chini, nimegundua Cecil kimwili yuko Chadema lakini kiroho yuko CCM hivyo hatatosha.
Hivyo basi wanaoniunga mkono naomba kwa pamoja tumchukulie fomu kamanda mwingine shupavu mwenye ujasiri uliotukuka ndugu yetu Tundu Antipas Lisu.
Sijajua fomu inauzwa bei gani lakini ninajitoa kwa gharama yoyote ili tupate kiongozi sahihi wa kumrithi kamanda Freeman.
Naomba kuwasilisha
Maendeleo hayana vyama!