Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Huu ndio ukweli japo ni mchungu kwa jamaa zetu wa upande wa pili.
Msimamo wake,kutoyumba,ujasiri wake,kusema ukweli pasipo kujali jina wa cheo cha mtu, kutokuwa na kashifa, ufahamu na uelewa mkubwa wa mambo kuhusu siasa na uongozi,n.k, ni miongoni mwa sifa zinazomtofautisha na wanasiasa wengi sana wa leo hii.
Lissu ana kipaji kikubwa cha siasa na uongozi kuliko mwanasiasa mwingine yoyote yule.
Lissu,kama ilivyokuwa kwa Baba wa Taifa, ana uwezo wa kuwakemea watawala bila kumung'unya maneno jambo ambalo wanasiasa wengi leo hii limewashinda.
Lissu,kama ilivyokuwa kwa Baba wa Taifa,ameonyesha uwezo mkubwa wa kuona mbali kwani mengi aliyokuwa akionya leo hii yanatimia japo ni vigumu kwa baadhi ya watu kukiri ukweli huu.
Lissu,kama ilivuokuwa kwa Baba wa Taifa,ameonyesha uwezo mkubwa wa ku-capture attention ya watu anapohutubia wananchi au kuongea na media kuliko mwanasiasa mwingine yoyote yule.
Kama ambabyo Mandelea aliwakosesha usingizi Makaburu,leo hii Lissu anawakosesha usingizi kina fulani na pengine wanatamani hata afukuzwe nchini na angekuwa na asili ya watu wa mataifa mengine,bila shaka leo tungesikia nae si raia wa nchi hii na uzuri hataki mikoani ya pembezoni.
Lissu leo hii akiwa na mkutano na waandishi au akihutubia live, Lumbumba na hata Magogoni shughuli nzima za siku zitasimama kutaka kumsikiliza Lissu ataongea nini.
Leo hii ukiwapa assiģnment wanafunzi wa sekondari au chuo ya kuandika maelezo juu ya mwanasiasa mahiri/machachari,wanafunzi wengi watamtaja Lissu kwasababu watakuwa na hoja nyingi na pia mifano mingi ya kutetea chaguo lao.
Tutausema ukweli huu angali yu hai na si vinginevyo.
Msimamo wake,kutoyumba,ujasiri wake,kusema ukweli pasipo kujali jina wa cheo cha mtu, kutokuwa na kashifa, ufahamu na uelewa mkubwa wa mambo kuhusu siasa na uongozi,n.k, ni miongoni mwa sifa zinazomtofautisha na wanasiasa wengi sana wa leo hii.
Lissu ana kipaji kikubwa cha siasa na uongozi kuliko mwanasiasa mwingine yoyote yule.
Lissu,kama ilivyokuwa kwa Baba wa Taifa, ana uwezo wa kuwakemea watawala bila kumung'unya maneno jambo ambalo wanasiasa wengi leo hii limewashinda.
Lissu,kama ilivyokuwa kwa Baba wa Taifa,ameonyesha uwezo mkubwa wa kuona mbali kwani mengi aliyokuwa akionya leo hii yanatimia japo ni vigumu kwa baadhi ya watu kukiri ukweli huu.
Lissu,kama ilivuokuwa kwa Baba wa Taifa,ameonyesha uwezo mkubwa wa ku-capture attention ya watu anapohutubia wananchi au kuongea na media kuliko mwanasiasa mwingine yoyote yule.
Kama ambabyo Mandelea aliwakosesha usingizi Makaburu,leo hii Lissu anawakosesha usingizi kina fulani na pengine wanatamani hata afukuzwe nchini na angekuwa na asili ya watu wa mataifa mengine,bila shaka leo tungesikia nae si raia wa nchi hii na uzuri hataki mikoani ya pembezoni.
Lissu leo hii akiwa na mkutano na waandishi au akihutubia live, Lumbumba na hata Magogoni shughuli nzima za siku zitasimama kutaka kumsikiliza Lissu ataongea nini.
Leo hii ukiwapa assiģnment wanafunzi wa sekondari au chuo ya kuandika maelezo juu ya mwanasiasa mahiri/machachari,wanafunzi wengi watamtaja Lissu kwasababu watakuwa na hoja nyingi na pia mifano mingi ya kutetea chaguo lao.
Tutausema ukweli huu angali yu hai na si vinginevyo.