:msela:Wananchi nchini misri wamechoshwa na ubabaishaji wa rais wao mubarak, ukosefuwa ajira, katiba chakachuzi kama hii ya Tanzania. Je nani atafuata kutolewa madarakani kwa nguvu ya umma kutokana na kutosikia kilio cha wengi, mabadiliko, umaskini, uchakachuaji, ufisadi like DOWAN, KIKWETE-Tanzania, MUGABE-Zimbwabe, MUSEVENI-Uganda, au Gbagbo- ivory cost????:bump::msela: