Baada ya miaka 3-5 ya ndoa

Baada ya miaka 3-5 ya ndoa

sakapal

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
1,804
Reaction score
1,425
I salute all MMU members,

Nimekuwa nikisoma thread nyingi za mahusiano ya watu kutaka ushauri wa ndoa zao nimegundua kila siku zinavoenda malalamishi ya unyumba yanazidi au tatizo ni kubwa. Wadada na wakaka wengi wamekuja humu kulalamikia mke hamfuikishi tena, amekuwa mvivu hajitumi tena, amekuwa mchafu hajisafishi tena n.k. Na wengine wamelalamika mume kaanza nyumba ndogo, mawasiliano kapunguza, hatutoki tena out, mara siku hizi anapiga bao moja tuu akipiga 2 au 3 anakaa wiki 2 hadi 3 ndo anapiga tena, wengine mume kawa mlevi, wenginemume anatembea na hg, anakimada siku hizi, nyumba ndogo yake inanitukana, mume kawa malaya na malalamiko kibao yanayofanana na hayo.
Pamoja na kuwa kaka Mtambuzi amekuwa akileta mada nyingi za kusaidia kuepusha matatizo kwenye mahusiano bado malalamishi ni kila leo mengine yanajirudia tofauri ni headings tu na ile mtu anakuwa releived akitoa lililo moyoni mwake.
Nilichokigundua mimi kama mimi inaonekana kuwa baada ya mwanamke kuolewa au kuwa kwenye mahusiano na mume/mpenz kwa muda wa miaka 3-5(wengine inakuwa chini ya hapo) wanawake wengi hamu ya kufanya mapenz inaongezeka, yaani kama mkeo alikuwa wakati mko wachumba au baada ya kuoana alikuwa ukimpiga bao mbili au tatu anaridhika akishakaa na wewe miaka 3-5 K yake inakuwa imashaizoea M ya mumewe/mpenz hivyo inachukua muda mrefu kwa yeye kufika orgasm au kuridhika kimapenz. Kama mwanamke anakuwa na sehemu mbalimbali za mwili wake ambazo ukizishika anakuwa anafika orgasm haraka basi nazo pia huzoea mfano ulikuwa ukimnyonya shingo mkeo au sikioni b4 game ukianzisha game inachukua bao mbili tuu anakuwa chali sasa now anakuwa kama sehemu hizo zimeshatumika au zimezoea ile ashki haipo tena, au labda humshiki kama ulivokuwa unamshika zamani hayo yote yanawezekana. Hapa mwanaume ataona mkewe aidha kawa muhuni haridhiki napenz langu au anatoka nje an huko nje kakutana na M kubwa kuliko yangu basi stress kwa wanaume inaanzia hapo. Na wengi wanaanza kutokujiamini na kuishi kwa kuhisi hisi tuu na kuwa na mashaka.
Vivyo hivyo kwa wanaume wao nao baada ya miaka hiyo ya ndoa anakuwa keshaizoea K ya mkewe mathalan mnakuwa msahzaa watoto 2 au 3 so ile tightness haipo au mama hajitumi tena na huu ndo mwanzo wa kutaka kupata kipya kinyemi, anapofanya hivi si kuwa hampendi mkewe la hasha inakuwa ni kwenye kutafuta orgasm bila kutumia nguvu nyingi. Kumbuka kwa mwanaume huyu pia kufika mshindo inamchukua muda as tangu akilini anakuwa ashamuwazia mkewe/mpenziwe haridhiki na bao mojha ai mbili so anahitaji nguvu nyingi ya kusukuma kwanza mkewe afike kileleni pili na yeye afike. Lishe yenyewe nowdays ni wali kuku, wali samaki, ugali nyama choma hapo wamejitahidi wengine ndo chips mayai/kuku Jan- Dec na wengine ndo kabisaa wanafanya diet ili kutoa vitambi huku wanasahau kuwa wanatakiwa wakifika kwenye kiwanja cha fundi seremala cha 6*6 wanatakiwa wakimbie wakizunguke hadi mwanamke anayeshangilia magoli anaypofunga akose nguvu na sauti ya kushangilia hapo ndo anaweza kulala.

Mimi nafikieri kwa upeo wangui mdogo kupunguza malalamishi ya ndoa kuhusu kuridhishana kimapenz wayaelewe na kuyakubali mabadiliko yanayotokea baada ya kuwa kwenye mahusiano kwa miaka hiyo na mkewe/mumewe/mpenziwe na kutakiwa kubuni nijia mpya za kuridhishana. Mfano hai ulikuwa ukitaka kumuinamisha mkeo kwa style yoyote kabla hajazaa ulifanya hivo na kufika kunako kirajhisiii sasa anawatoto 3 kwanza kumuinamisha vile kama hujamvunja basi utampa valium kwa kushusha presha itakayokuwa imepanda, maana wamama wanatanuka na kunenepa hali kadhalika baba nae kitambi hiko mama akitaka kukumbatia ziro distance waaapi!!

Wana MMU wenzangu nyie mna kipi cha kuongeza kifanyike kuepuka na kusuluhisha matatizo ya kuridhishana kiunyumba kwa wale walioko kwenye ndoa zaidi ya miaka 3-5. Nawakilisha.

Ever remaining,
Sakapal.
 
Last edited by a moderator:
kwa lugha nyingine ubunifu usiishe....wanandoa wakishaishi miaka kadhaa ubunifu nao unakwenda na maji unakuta dada au kaka anajituma kweli kwa hawara kwenye ndoa anasahau......
 
Niliwahi kusema hapa hapa JF kwamba likija suala la kutofurahia ndoa wanaume hatuwezi kukwepa lawama.. Na nilisema hivyo kwa kuwa mwanaume ndo kichwa cha nyumba hiyo inampa clout ya kuwa muongozaji wa maneno na vitendo.. Mfano wanaume tunatakiwa tujue kila kitu kinachohusiana na sex toka kwa wanawake zetu.. Na sie inabidi tuvijue vyote vinavyohusiana na sex toka kwa hao wanawake.. Tuweke uwazi mbele juu ya lipi linalotufurahisha na lipi hatulipendelei.. Na tuwaeleze wanawake nao waseme..

Asilimia kubwa ya
wanaume Sakapal wakishaoa basi huwapa wake zao "heshima" ambayo kumbe kwa mwanamke inakuwa mwanzo wa unyonge kwenye masuala ya mapenzi na mengineo.. Inawezekana mwanzo mlikuwa mnatoka out.. wakati mwingine mnafanya mapenzi kwenye gari.. au sebuleni.. Au mlikuwa mnafanya kwa style tofauti tofauti.. Sasa ukishamuoa unaacha yale uliokuwa unayafanya mwanzo.. Inawezekana unaona kufanya mapenzi kwenye gari na mke wako ni sawa na kumdhalilisha na huko tayari kumdhalilisha..! Unajua mwenzio anapokea vipi situation kama hiyo..? Wengine wakishaoa wanaona wameoa kwa ajili ya kuleta familia.. So yale yote waliokuwa wanayafanya mwanzo wanayaacha.. hii nayo inachangia sana kuleta mtafaruku au kuondoa ladha kwenye ndoa..
 
Nimekuwa nikisoma thread nyingi za mahusiano ya watu kutaka ushauri wa ndoa zao nimegundua kila siku zinavoenda malalamishi ya unyumba yanazidi au tatizo ni kubwa. Wadada na wakaka wengi wamekuja humu kulalamikia mke hamfuikishi tena, amekuwa mvivu hajitumi tena, amekuwa mchafu hajisafishi tena n.k. Na wengine wamelalamika mume kaanza nyumba ndogo, mawasiliano kapunguza, hatutoki tena out, mara siku hizi anapiga bao moja tuu akipiga 2 au 3 anakaa wiki 2 hadi 3 ndo anapiga tena, wengine mume kawa mlevi, wenginemume anatembea na hg, anakimada siku hizi, nyumba ndogo yake inanitukana, mume kawa malaya na malalamiko kibao yanayofanana na hayo.

Aisee kumbe watu tuna tofautiana sana....
 
Nimewapata hapo juu kwa maana hiyo ili mapenzi yasichuje pande zote haitakiwi kuoneana aibu eti kisa ndoa kama nikubiliguana na iwe kubiliguana kwelikweli, SHIDA GANI! wewe unampa respect akitoka nje sarakasi mtindo mmoja.
 
Kwa kweli ndoa za siku hizi mi hata sizielewielewi,vululuvululu tu,wengi wanaishi kwa mazoea au kwa kua wana watoto,lkn ndoa nyingi ni zaidi ya Darfur!wanawake tuzidishe maombi kwny ndoa zetu, coz hawa wababa sijui akili zao wameshikiwa na ibilisi au vipi,ingawa si wote!
 
Bora kuendelea kuwa single tu(mtizamo wngu)
 
kuna article flan hivi niliisoma..yaaan kimsingi kabisa mwanamke anapenda sana kufanya mapenzi..societyinayomzunguga imemjengea mentality kwamba akifanya mapenzi na watu wengi ataitwa malaya na pia hatoolewa..sasa inamfanya aamini katika kuwa na mume mmoja kisha afunge nae ndoa sasa ile hulka ya kufanya mapenzi sana inakuja kujitokeza mara nyingi baada ya ndoa...inakuja kulipuka na inakuajuu..sasa by that time mumewe inashuka..ndo maana wake za watu wengi wanagongwa..nilishangaa sana..baada ya kusoma hiyo kitu ngoja nizame kwa external nikiipata naiondosha hapa hapa kila mtu aidownload..ila kimsingi mwanamke anapenda kufanya mapenzi sana..yani..najua wanawake wengi watapinga lakini moyoni mwenu ukweli munaujua..over...im the illest mothr....kcr alive..daah songi la ukweli sana...hahahaha
 
kuna article flan hivi niliisoma..yaaan kimsingi kabisa mwanamke anapenda sana kufanya mapenzi..societyinayomzunguga imemjengea mentality kwamba akifanya mapenzi na watu wengi ataitwa malaya na pia hatoolewa..sasa inamfanya aamini katika kuwa na mume mmoja kisha afunge nae ndoa sasa ile hulka ya kufanya mapenzi sana inakuja kujitokeza mara nyingi baada ya ndoa...inakuja kulipuka na inakuajuu..sasa by that time mumewe inashuka..ndo maana wake za watu wengi wanagongwa..nilishangaa sana..baada ya kusoma hiyo kitu ngoja nizame kwa external nikiipata naiondosha hapa hapa kila mtu aidownload..ila kimsingi mwanamke anapenda kufanya mapenzi sana..yani..najua wanawake wengi watapinga lakini moyoni mwenu ukweli munaujua..over...im the illest mothr....kcr alive..daah songi la ukweli sana...hahahaha

umesema ukweli kabisa wake za watu wengi wanagongwa wengine kutokana na tabia zao mbaya wengine ni kuzidiwa na hamu na hii inatokana na mke baada ya kazi za siku nzima kala kashiba ananguvu zinatakiwa zitumike, kama mumewe hajamtumikisha kwenye kiwanja cha fundi seremala hadi akapitiwa na usingizi lazima atakunwa tuu.
Wanaume wote hata kama watakuwa wanapiga nje na nyumba ndogo ila kama unamgegeda mkeo kwa style zote na kumpa penzi kama unavompa hawara na kumuacha mkeo hoooiii na macho ya kurembua asubuhi nakwambia hata akiona mwanaume mwingine ndo kwanza anamdharau wa nini huyu,anantia shombo tuu anakusubiria uje umshurutishe. Sio wewe kutwa kuchwa saa nane usiku mkeo anasikia baridi usiku hana wa kumkuna ukirudi na pombe zako unamtaka tigo tena kwa nguvu hata humuandai nakwambia atatafuta pa kustarehe tuu.
 
Bora kuendelea kuwa single tu(mtizamo wngu)

pole kwa kuwa single ukishaelewa kuwa ukiwa na mtu wako na katiba yenu ya mahusiano ni kupeana raha kwa nguvu zote mkiwa kwenye uwanja wa seremala wakati mwenzako anahitaji, utakula raha wewe hadi basi na hata karaha nyingine hutaziona.
 
Nimewapata hapo juu kwa maana hiyo ili mapenzi yasichuje pande zote haitakiwi kuoneana aibu eti kisa ndoa kama nikubiliguana na iwe kubiliguana kwelikweli, SHIDA GANI! wewe unampa respect akitoka nje sarakasi mtindo mmoja.

yaani ukiligundua hilo utakula raha wewe kwenye ndoa yako na wala hutataka kwenda nyumba ndogo, utamu ufaidi na mkeo/mumeo. Kwenye ndoa hamna kuoneana aibu ndio maana hakuna kulalla na nguo mambo ya night dress unayaacha kwa baba na mama, ndoa ni kugegedana mtindo mmoja ila kwa raha sio kubakana.
 
Aisee kumbe watu tuna tofautiana sana....

Hongera Mtambuzi kama unatofautiana nao wengi bado wako kwenye dimbwi la kuchokana na graph zinapishana ukikuta mama ham inazidi baba kachoka au ukikuta baba ham inazidi mama kachoka, ila kama wewe jinsi unavokaa na mumeo/mkeo ham ya kupeana raha inazidi ile ya uchumba nakwambia hamtawaza kuachana wala kwenda nyumba ndogo na kila siku mtaomba mungu awaongezee siku za kuishi ili mzidi kula paradiso.
 
Last edited by a moderator:
Hongera Mtambuzi kama unatofautiana nao wengi bado wako kwenye dimbwi la kuchokana na graph zinapishana ukikuta mama ham inazidi baba kachoka au ukikuta baba ham inazidi mama kachoka, ila kama wewe jinsi unavokaa na mumeo/mkeo ham ya kupeana raha inazidi ile ya uchumba nakwambia hamtawaza kuachana wala kwenda nyumba ndogo na kila siku mtaomba mungu awaongezee siku za kuishi ili mzidi kula paradiso.
Mh, Mie nahisi napunjwa kwa kweli......
Lakini ndio hivyo inabidi nimvumilie mama Ngina wangu............... LOL
 
Mh, Mie nahisi napunjwa kwa kweli......
Lakini ndio hivyo inabidi nimvumilie mama Ngina wangu............... LOL

kama unafanya unavosema utafanikiwa sana na pia utakuwa na maisha marefu, kitu kingine kikubwa kinatakiwa kwenye ndoa ni uvumilivu. Salam kwa mama Ngina na Ngina mwenyewe.
 
Kwa kweli ndoa za siku hizi mi hata sizielewielewi,vululuvululu tu,wengi wanaishi kwa mazoea au kwa kua wana watoto,lkn ndoa nyingi ni zaidi ya Darfur!wanawake tuzidishe maombi kwny ndoa zetu, coz hawa wababa sijui akili zao wameshikiwa na ibilisi au vipi,ingawa si wote!

Jamani kwa kweli tutasingizia mambo mengi sana kwenye hii kadhia ya ndoa lakini ukweli ni kwamba Kama mwanamke umeingia kwenye ndoa wakati kabla ya ndoa ulikuwa ukifanya mapenzi ya kujiiba na mume wa mtu ndugu yangu hiyo dhambi itakuandamana na hautadumu kwenye ndoa yako milele utakuwa ukilalamika kama yule uliyekuwa unamuibia alivyokuwa analalamika,vivyo hivyo kwa upande wa pili..

Hivi huwezi jiuliza aliyekuzaa wewe mpaka leo hii kazeeka alikuwa na stress kama ulizo nazo sasa kwenye hiyo ndoa yako.Mimi bado napingana na malamiko haya kuwa ndoa za siku hizi ni vuluvulu
 
kuna article flan hivi niliisoma..yaaan kimsingi kabisa mwanamke anapenda sana kufanya mapenzi..societyinayomzunguga imemjengea mentality kwamba akifanya mapenzi na watu wengi ataitwa malaya na pia hatoolewa..sasa inamfanya aamini katika kuwa na mume mmoja kisha afunge nae ndoa sasa ile hulka ya kufanya mapenzi sana inakuja kujitokeza mara nyingi baada ya ndoa...inakuja kulipuka na inakuajuu..sasa by that time mumewe inashuka..ndo maana wake za watu wengi wanagongwa..nilishangaa sana..baada ya kusoma hiyo kitu ngoja nizame kwa external nikiipata naiondosha hapa hapa kila mtu aidownload..ila kimsingi mwanamke anapenda kufanya mapenzi sana..yani..najua wanawake wengi watapinga lakini moyoni mwenu ukweli munaujua..over...im the illest mothr....kcr alive..daah songi la ukweli sana...hahahaha

Mmmh hii kama ina ukweli hivii maana kuna Mwanangu mmoja DAILY anamto..a demu wake pale gheto hahahahaha serious inafika kipindi yule bibie anakuambia kabisa naomba unipishe nataka ninanilii na friend wako
 
Mimi kwa ushauri wangu cha muhimu inabidi hizo weight zenu mzifanyie kazi kwani ukishakua mnene na makilo kibao kiu ya ngono inazidi kwasababu ya mafuta lakini tunapokuja kwenye uhalisia unapokuwa on bed perfomance inakuwa hovyo kwasababu unachoka haraka sana,hebu jiulize kama unashindwa kukimbia kwasababu ya uzito unafikiri kitandani utaweza seleka,pili usipende kun'gan'gania position moja kila unapofanya mavitu na mwisho jaribu kubadilisha location hii jamani ni tamu sana kwa wana ndoa,nendeni sehemu mbali kidogo na home lipieni chumba kama ni hotel,guest house au popote pale mradi ni away from home,it can even be in the car kama una gari kama Honda CRV,Noah au suziki vitara-5doors unalaza ile seat ya katikati mnaweka kigodoro kidogo kwa nyuma,tafuta eneo ambalo ni tulivu kidogo ina raha jamani hebu jaribuni halafu mni-pm how it feels like and last but not least ubunifu,tumieni vizuri viungo vyenu mikono,vidole,midomo chezesheni hivyovitu vizuri peleka kila unakohisi itamletea mwenzio munkari.Nasubiria feedback.
 
pole kwa kuwa single ukishaelewa kuwa ukiwa na mtu wako na katiba yenu ya mahusiano ni kupeana raha kwa nguvu zote mkiwa kwenye uwanja wa seremala wakati mwenzako anahitaji, utakula raha wewe hadi basi na hata karaha nyingine hutaziona.

Don't say sorry,am happy being single.
 
kuna article flan hivi niliisoma..yaaan kimsingi kabisa mwanamke anapenda sana kufanya mapenzi..societyinayomzunguga imemjengea mentality kwamba akifanya mapenzi na watu wengi ataitwa malaya na pia hatoolewa..sasa inamfanya aamini katika kuwa na mume mmoja kisha afunge nae ndoa sasa ile hulka ya kufanya mapenzi sana inakuja kujitokeza mara nyingi baada ya ndoa...inakuja kulipuka na inakuajuu..sasa by that time mumewe inashuka..ndo maana wake za watu wengi wanagongwa..nilishangaa sana..baada ya kusoma hiyo kitu ngoja nizame kwa external nikiipata naiondosha hapa hapa kila mtu aidownload..ila kimsingi mwanamke anapenda kufanya mapenzi sana..yani..najua wanawake wengi watapinga lakini moyoni mwenu ukweli munaujua..over...im the illest mothr....kcr alive..daah songi la ukweli sana...hahahaha

Daah,yani kweli kabisa,mi pia nimo,ninakuwa na nyege sana,ingawa mr ananifikisha na sijawahi toka nje,ila siku akiwa kachoka na mimi nina hamu huwa nateseka sana,na kuna siku alinifumbia ni ulimbukeni tu nitakuja kuchoka tuu,ila siku zinavyozidi kwenda ndio hamu yazidi,mpaka nasema sijui kwa sababu ya kuzaa,sijui bado ninatafuta ufumbuzi wa hili,ingawa kwa kweli ukiwa na mume hakujali kukutimizia very likely ukatoka nje.Frankly speaking mimi hua najichua mwenyewe nikiona nimezidiwa na yeye hana dalili ya kuduu,kuliko nitoke nje bora najichezea 2-3 mini nimetua mzigo!Eee Mungu nisamehe!
 
Back
Top Bottom