unprejudiced
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 3,503
- 2,869
Nilikua nammendea beki 3 kwa muda mrefu,majuzi wife kaenda kwenye harusi na mie nikpata nafasi ya kumgegeda, nilikuaga namuoa na vijana wa mtaani wakimmendea nikafikiri walishaondoa bikra kumbe bdo,sasa nikawa wa kwanza kuzichana nyavu.
Baada ya kumaliza tendo dogo aliniahidi kuwa akirudi dada yake atanisemea,so majuzi ghafla wife kaninunia mpaka leo kanuna,pamoja kuwa hajaniambia kuwa dogo kamwambia au rafiki zake beki 3 wamemwambia, nikimwambia aniambie nini kinamfanya anune ananiambia ninajua.Familia haina Amani ni shida mtupu ukizingatia Maza yangu katimba kutoka mkoa,Najuta kumgegeda huyu beki 3
But it’s so illogical. Wife anune. Beki tatu awepo. Please heshimu JF.