Baada ya mechi

Baada ya mechi

shuka chini

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2024
Posts
1,509
Reaction score
2,997
Habari wadau .
Moja kwa moja kwenye mada .Nimeona baadhi ya mashabiki wa simba wakijipa moyo kuwa wanabeba ubingwa .

Ukweli japo mchungu nikwamba baada ya mechi kila shibiki wa simba atatoka kichwa chini .leo ni siku chungu kwa simba atapigwa vibaya sana.

Viongozi walishauza mechi wamevuta chao.


Nawahurumia sana mashabiki wa simba .Narudia simba akibeba kombe nipigwe ban ya siku tano.
 
Habari wadau .
Moja kwa moja kwenye mada .Nimeona baadhi ya mashabiki wa simba wakijipa moyo kuwa wanabeba ubingwa .

Ukweli japo mchungu nikwamba baada ya mechi kila shibiki wa simba atatoka kichwa chini .leo ni siku chungu kwa simba atapigwa vibaya sana.

Viongozi walishauza mechi wamevuta chao.


Nawahurumia sana mashabiki wa simba .Narudia simba akibeba kombe nipigwe ban ya siku tano.
inatakiwa upigwe ban ya mwaka kabisa
 
Baada ya mechi kuna watu watakufa Kwa pressure
1. Mashabiki wa Simba kwa furaha ya kushinda
2. Mashabiki wa Simba kwa pressure ya kushindwa
3. Mashabiki wa Yanga kwa furaha ya Simba kufungwa
4. Mashabiki wa Yanga kwa pressure ya Simba kushinda

Lazima kuna kufa leo!!
 
Baada ya mechi kuna watu watakufa Kwa pressure
1. Mashabiki wa Simba kwa furaha ya kushinda
2. Mashabiki wa Simba kwa pressure ya kushindwa
3. Mashabiki wa Yanga kwa furaha ya Simba kufungwa
4. Mashabiki wa Yanga kwa pressure ya Simba kushinda

Lazima kuna kufa leo!!
Duuuh
 
Ndio maana Rage kaogopa kwenda Zenji ila kuuza sidhani maana hela watakazopata hapo ni kubwa kuliko kuuza sema watapigwa sababu team Yao mbovu
Berkane hawezi kutoa hata shing kumi kwa team atakayopiga kama chapati za kuchambua
 
Baada ya mechi utasikia " huyu Ateba, Mukwala, Deborah, na Mutale watuachie timu yetu"
 
Simba atanza kupigwa tena dakika kumi mwanzo atapigwa moja
 
Back
Top Bottom