shuka chini
JF-Expert Member
- Feb 27, 2024
- 1,509
- 2,997
Habari wadau .
Moja kwa moja kwenye mada .Nimeona baadhi ya mashabiki wa simba wakijipa moyo kuwa wanabeba ubingwa .
Ukweli japo mchungu nikwamba baada ya mechi kila shibiki wa simba atatoka kichwa chini .leo ni siku chungu kwa simba atapigwa vibaya sana.
Viongozi walishauza mechi wamevuta chao.
Nawahurumia sana mashabiki wa simba .Narudia simba akibeba kombe nipigwe ban ya siku tano.
Moja kwa moja kwenye mada .Nimeona baadhi ya mashabiki wa simba wakijipa moyo kuwa wanabeba ubingwa .
Ukweli japo mchungu nikwamba baada ya mechi kila shibiki wa simba atatoka kichwa chini .leo ni siku chungu kwa simba atapigwa vibaya sana.
Viongozi walishauza mechi wamevuta chao.
Nawahurumia sana mashabiki wa simba .Narudia simba akibeba kombe nipigwe ban ya siku tano.