Masaningala
JF-Expert Member
- Nov 19, 2010
- 543
- 199
Jamani nina uchu wa kujua haya yafuatayo: 1) Suala la uchaguzi wa Meya wa Arusha kurudiwa limefikia wapi? Je Chadema wamechukua hatua gani za ziada baada ya maandamano ili kuendeleza msimamo wao wa kutomtambua meya wa CCM? 2) Je msimamo wa Maaskofu bado ni uleule au wamesalimu amri? je Chadema wanadhani kwa kushikilia msimamo wao wanamatumaini ya kufaulu?
Yeyote mwenye taarifa sahihi anieleweshe tafadhali.
Yeyote mwenye taarifa sahihi anieleweshe tafadhali.