Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Helo jf tatizo hili linanipa msongo wa mawazo kupita kiasi,Baada ya mama wa ex glfrend wangu kunionyesha kwamba yukoje katika ukorofi sasa arejea na kauli mpya ya maridhiano ili nifunge ndoa na mwanaye ambaye nimemkataa sasa akili yangu niliyopewa na mungu nikahisi huyu mama mkwe anataka 2funge ndoa haraka ili nisiweze kumwacha tena na ndoa ya kikritu ni ndoa moja tu! Jf naombeni ushauri mana nikifanya mistake tu imekula kwangu!