Baada ya mama mkwe kucharuka sasa ataka maridhiano

Alvin Slain

JF-Expert Member
Aug 30, 2011
6,375
3,655
Helo jf tatizo hili linanipa msongo wa mawazo kupita kiasi,Baada ya mama wa ex glfrend wangu kunionyesha kwamba yukoje katika ukorofi sasa arejea na kauli mpya ya maridhiano ili nifunge ndoa na mwanaye ambaye nimemkataa sasa akili yangu niliyopewa na mungu nikahisi huyu mama mkwe anataka 2funge ndoa haraka ili nisiweze kumwacha tena na ndoa ya kikritu ni ndoa moja tu! Jf naombeni ushauri mana nikifanya mistake tu imekula kwangu!
 
kwani wewe ni mtoto mdogo wakulazimishwa kufunga ndoa???......
samahani kama nitakuwa nimekukwaza kwa swali langu?
 
Ndoa ni makubaliano kati ya watu wawili muoaji na muolewaji. Hivyo wewe na mchumba wako ndiyo wenye uamuzi wa mwisho na wala siyo mama mkwe au wanajamvi hapa JF. Mama mkwe hataishi na wewe wala wana JF hawataishi na wewe. Uamuzi wa kusuka au kunyoa ni wako!
 
Umeshasema ulishamuacha.... kwanini msirudiane kwanza ndo mpange harusi..... Sasa hapo utakua unamuoa huyo x-mpenzio au mama mkwe? Hakuna mapenzi hapo, sana sana nakushauri umuoe huyo MAMA MKWE wako.......... Na ataakuaje mama mkwe ilhali hamjafunga ndoa? Au mm ndo cjui KiSwahili?
 
Umeshasema ulishamuacha.... kwanini msirudiane kwanza ndo mpange harusi..... Sasa hapo utakua unamuoa huyo x-mpenzio au mama mkwe? Hakuna mapenzi hapo, sana sana nakushauri umuoe huyo MAMA MKWE wako.......... Na ataakuaje mama mkwe ilhali hamjafunga ndoa? Au mm ndo cjui KiSwahili?
<br /> <br / br yaani mipango ilikuwa ni kuoana sasa baada ya yeye bintiye kutengana na mimi ndo mamaye kazidisha mawasiliano!
 
sasa inakuwaje mama mkwe akupangie wakati maamuzi ni kwako na kwa mtarajiwa au nini interest yako kati ya mama mkwe na mwanae
 
Ndugu sababu za kumuacha zimekwisha?usilazimishwe.ukisema hapana uwe unamaanisha.
 
Ndugu sababu za kumuacha zimekwisha?usilazimishwe.ukisema hapana uwe unamaanisha.
<br /> <br / huyo mamaye nadhani kuna ki2 anataka akipate endapo nitafunga ndoa na mwanaye kwa maana kwa hali hii sijaona
 
<br /> <br / huyo mamaye nadhani kuna ki2 anataka akipate endapo nitafunga ndoa na mwanaye kwa maana kwa hali hii sijaona
  1. mmekaa kwa muda gani kwenye mahusiano???
  2. mpenzi wako na mama yake wakoje (ukaribu wao)
  3. je wewe na mama mkwe wako ukaribu wenu ukoje ???
 
<ol class="decimal"><li>mmekaa kwa muda gani kwenye mahusiano???</li><li>mpenzi wako na mama yake wakoje (ukaribu wao)</li><li>je wewe na mama mkwe wako ukaribu wenu ukoje ???</li></ol>
<br /> <br / ni ule ukaribu tu wa kirafiki sasa nashangaa mamaye ndo anaongeza kana kwamba huyo mwanaye ndiye anayemuoa!
 
&lt;br /&gt; &lt;br / br yaani mipango ilikuwa ni kuoana sasa baada ya yeye bintiye kutengana na mimi ndo mamaye kazidisha mawasiliano!
<br />Huyo mama anakutaka ndo sababu aliamua kuvunja uhusiano wako na mtoto wake. Mpe mambo mheshimiwa. Mwanaume hasifiwi kula bali shughuli. Inakuwaje baada ya ww na binti yake kuachana arudi tena kukushawishi? Tafakari chukua hatua......................
<br />
 
Hapana nilizaliwa 25 year,s ago!

Wewe hebu tuondokee hapa na mambo ya huyo mamamkwe yako. Kama vipi washughulikie wote wawili il kusiwe na kelele. Unaboa kwelli. Kwanza unawezaje kumuita mama mkwe? Unajua kweli maana ya Mama mkwe? Hovyooooooooooooooo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom