kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 11,120
- 24,396
Madhara ya kutengeneza matatizo ya ndani hata kama una nia njema wananchi wako wataungana na wateso wako kukushughulikia....Wananchi wa Venezuela wameona bora washikane mkono wa Shetani mkuu US apore mafuta tu kwasababu serikali ya maduro ilikua inaua wananchi na kuwatesa na kuwakandamiza sana.
Imagine Wavenezuela wangekua hawatekwi, hawauliwi, hawafanyiwi ufisadi na watawala hawanyimwi huru leo US angetimba wananchi wangeungana na serikali kumkabili US lakini mambo yamekua vise versa kwasababu ya ubaya kuzidi uzuri wa kitu.
The same hapa kwetu, US wakija kumtoa huyu mtu wetu in exchange na Uranium tupo tayari maana utawala huu umeua raia zaidi ya elfu 10 ndani ya siku 3 tu na kila aina ya oppression wananchi wanapitia, huku ufisadi ukishamiri na hali ikizidi kuwa mbaya
Mpeni salam bi "Who are you" huu mwaka 2026 hauishi na hatoboi amini nawaambia, hatma yake itakua kama hii ya maduro au yule dikteta wa Romania.
Imagine Wavenezuela wangekua hawatekwi, hawauliwi, hawafanyiwi ufisadi na watawala hawanyimwi huru leo US angetimba wananchi wangeungana na serikali kumkabili US lakini mambo yamekua vise versa kwasababu ya ubaya kuzidi uzuri wa kitu.
The same hapa kwetu, US wakija kumtoa huyu mtu wetu in exchange na Uranium tupo tayari maana utawala huu umeua raia zaidi ya elfu 10 ndani ya siku 3 tu na kila aina ya oppression wananchi wanapitia, huku ufisadi ukishamiri na hali ikizidi kuwa mbaya
Mpeni salam bi "Who are you" huu mwaka 2026 hauishi na hatoboi amini nawaambia, hatma yake itakua kama hii ya maduro au yule dikteta wa Romania.