Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 4,770
- 10,665
Hali ya sasa kiuchumi ime collapse kwa sababu viongozi waliopo ni mambumbumbu wenye matumbo makubwa kuliko akili.
Ukichukua pay slip ya mtumishi wa Tanzania anaelipwa 3M na akasomeshwa na bodi , takriban 1..5 yote inaenda kwenye makato.
Huenda makato sio tatizo, lakini je , haya makato yana transalate vipi ubora wa mwananchi kwenye maisha ya kawaida.?
Nchi haina Umeme wa kutosha,
Nchi haina miundombinu ya maana,
Bado tunajadili matundu ya njoo,
Hospitali hazina dawa , utapeli wa Mchengerwa ambae ni mkaza mwana wa Rais ni kudanganya utoshelevu wa dawa ni 90% , huku PM anasema 95% ya wagonjwa wanakosa dawa hospitalini ——!What a shame .
Zambia anaagiza IST kutoka Japan kupitia bandari ya Dar, Gari ikifika Dar inaingia road na kwenda Zambia, Gharama nzima hadi mteja anapata IST yake inakwenda 12M. Mtanzania mwenye bandari ananunua gari hiyo hiyo with the same price from Japon , hadi inamfikia mkononi anatumia 18 to 20 M : the cursed generation
Resources wanazopewa wageni zina punguza vipi ukali wa maisha ya wananchi ? Kwa mfano, Bandari inayoendeshwa na wahuni kutoka Dubai, imepunguza vipi gharama za ugomboaji ? Na huko kupungua mwananchi wa kawaida ana feel vipi hilo punguzo ?
Ikiwa resources zinapewa wageni, and still wananchi wanapigwa kodi na tozo mbele na nyuma…. what is the point ya kugawa hizo mali ; au sisi ni mama Uruma? Taifa lipo kwa ajili ya kunufaisha wageni na sio raia ?
Hii inanikumbusha yale mashimo ya kule Mwadui shinyanga, kwa sasa kuna matundu matundu huku wananchi wa shinyanga ni mafukara, kama ilivyomtwara na maeneo mengine
Watanzania muelewe mna viongozi zero brain.
Kwa mfano, mnapoteza muda kuongeza mishahara mei mosi, kwanini msipunguze kodi kwa kushusha paye, bodi ya mikopo na matozo mengine… automatically utakuwa umeongezea watu mishahara.
Kuna asilimia kubwa ya watu hawalipi bodi ya mikopo…. Wapo waliosomeshwa na wamejiajri ; kwa ujinga wenu hamuwezi kuwapata hawa kwa sababu hamna reasonable charge . Mtabaki kuwakamua watumishi wa umma
Kama hata Samia ameweza kuwa head of the state , nadhani shida kubwa ni mfumo na ili mambo yawe sawa, CCM ndio mchawi na ni lazima atoke ili nchi isonge mbele . Chini ya CCM hakuna kitakachoweza kusogea
Ukichukua pay slip ya mtumishi wa Tanzania anaelipwa 3M na akasomeshwa na bodi , takriban 1..5 yote inaenda kwenye makato.
Huenda makato sio tatizo, lakini je , haya makato yana transalate vipi ubora wa mwananchi kwenye maisha ya kawaida.?
Nchi haina Umeme wa kutosha,
Nchi haina miundombinu ya maana,
Bado tunajadili matundu ya njoo,
Hospitali hazina dawa , utapeli wa Mchengerwa ambae ni mkaza mwana wa Rais ni kudanganya utoshelevu wa dawa ni 90% , huku PM anasema 95% ya wagonjwa wanakosa dawa hospitalini ——!What a shame .
Zambia anaagiza IST kutoka Japan kupitia bandari ya Dar, Gari ikifika Dar inaingia road na kwenda Zambia, Gharama nzima hadi mteja anapata IST yake inakwenda 12M. Mtanzania mwenye bandari ananunua gari hiyo hiyo with the same price from Japon , hadi inamfikia mkononi anatumia 18 to 20 M : the cursed generation
Resources wanazopewa wageni zina punguza vipi ukali wa maisha ya wananchi ? Kwa mfano, Bandari inayoendeshwa na wahuni kutoka Dubai, imepunguza vipi gharama za ugomboaji ? Na huko kupungua mwananchi wa kawaida ana feel vipi hilo punguzo ?
Ikiwa resources zinapewa wageni, and still wananchi wanapigwa kodi na tozo mbele na nyuma…. what is the point ya kugawa hizo mali ; au sisi ni mama Uruma? Taifa lipo kwa ajili ya kunufaisha wageni na sio raia ?
Hii inanikumbusha yale mashimo ya kule Mwadui shinyanga, kwa sasa kuna matundu matundu huku wananchi wa shinyanga ni mafukara, kama ilivyomtwara na maeneo mengine
Watanzania muelewe mna viongozi zero brain.
Kwa mfano, mnapoteza muda kuongeza mishahara mei mosi, kwanini msipunguze kodi kwa kushusha paye, bodi ya mikopo na matozo mengine… automatically utakuwa umeongezea watu mishahara.
Kuna asilimia kubwa ya watu hawalipi bodi ya mikopo…. Wapo waliosomeshwa na wamejiajri ; kwa ujinga wenu hamuwezi kuwapata hawa kwa sababu hamna reasonable charge . Mtabaki kuwakamua watumishi wa umma
Kama hata Samia ameweza kuwa head of the state , nadhani shida kubwa ni mfumo na ili mambo yawe sawa, CCM ndio mchawi na ni lazima atoke ili nchi isonge mbele . Chini ya CCM hakuna kitakachoweza kusogea