Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,839
- 93,626
Jibu analo mumeo mkuuhivi kibaraka ameolewa au ame oa 🐒
niliona akipigwa kiss airport siku zingine 🐒
Jibu analo mumeo mkuuhivi kibaraka ameolewa au ame oa 🐒
niliona akipigwa kiss airport siku zingine 🐒
sawa mkuu wacha tusubiri 🐒Jibu analo mumeo mkuu
UWT kutwa mnawaza ngono pekeesawa mkuu wacha tusubiri 🐒
hawajawahi kujua wanataka nini au wanasimamia nini 🐒Hivi wewe unadhani bangi ikiruhusiwa nchi itakuwa na thamani tena? itakuwa kama unavuta sigara tu. Mama kawaachia tu majukwaa wapige kelele sasa na wao shida baada ya kufunguliwa wakawa kelele tuuu mwisho zimekuwa kero, hawajui namna ya kutumia silaha zao kwa maana nyingine wamemaliza silaha na kawaida huwa wanaenda na trend tu. Bandari wapi? nasikia wamehamia kwenye sukari na wakimaliza wanaweza kuhamia issue ya Diamond na Tembo. Ni chama pekee mpaka leo sijui wanasimamia nini tofauti na CCM.
Akikaa kimya ndo ujue ushatatua matatizo. Anasubiri shida zingine aibuke ..........Mambo mbalimbali yameendelea baada ya Maandamano ikiwemo mgao wa Umeme kufikia kikomo na Sukari kupatikana bila matatizo.
Tulitegemea Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lisu atoke kuishukuru Serikali.
Lakini tunawaona Akina Sugu, Heche, Lema, Mbowe walau wakiisifia Serikali kwa namna Moja au nyingine Lakini Lisu amekuwa kimya sana.
Jumaa Mubarak 😄
Kuandika kwa herufi kubwa tu ni sawa na kupiga kelele.HAWEZI KUCHANGANYIKIWA NA HUYO HAYAWANI LISSU
Ni kweli, ccm wana consistance kwenye wizi wa kura. Njoo kwenye umeme, Leo watasema umeme wa gas utamaliza tatizo la mgao. Na umeme wa maji tatizo ni mabadiliko ya tabia nchi. Akiingia rais mwingine anarukia umeme huo huo wa maji!Hivi wewe unadhani bangi ikiruhusiwa nchi itakuwa na thamani tena? itakuwa kama unavuta sigara tu. Mama kawaachia tu majukwaa wapige kelele sasa na wao shida baada ya kufunguliwa wakawa kelele tuuu mwisho zimekuwa kero, hawajui namna ya kutumia silaha zao kwa maana nyingine wamemaliza silaha na kawaida huwa wanaenda na trend tu. Bandari wapi? nasikia wamehamia kwenye sukari na wakimaliza wanaweza kuhamia issue ya Diamond na Tembo. Ni chama pekee mpaka leo sijui wanasimamia nini tofauti na CCM.
CHADEMA wanamtumia tu kama "Kivutio" chao.pale mbeya pumzi ilimgomea had huruma 🐒
Huyo unayemuita dhalimu lakini CHADEMA imekwisha kuliko wakati wowote.Dhalimu magu alikuwa akimsikia Lisu anachanganyikiwa.
Kamuulize mumeo zitoNenda uliza idadi ya wapiga kura halisi Sasa, ndio utajua dhalimu magu alikuwa anazitaka siasa, lakini siasa zikawa hazimtaki.
Tulia we mkojo.Kamuulize mumeo zito
Hatimae matokeo yakapinduka mazima wa 13% sasa yuko 100% na wa 84% sasa yuko 0% Mungu bana84% vs 13%
Dadeki
Sawa anapaka grease, ila yuko hai, mwenzake yuko futi 6 mifupa tu. Mungu hadhihakiwi jombaa!Anapata Grisi? Marathon hazikuwa lele mama
Mhh! Kumbe mweupe hivi!Lisu ni professional Lawyer every where he can go no any body can hinder him.
Mkuu, kidhungu ulijifunzia wapi? Mwalimu wako hakukufundisha ile kanuni ya "no any"?Lisu ni professional Lawyer every where he can go no any body can hinder him.
Amepata alichotaka "Maandamano". Hii ilikuwa ndoto yake toka aingie CHADEMA. Hivyo ataendelea kuwekeza nguvu kubwa kwenye Maandamano, ili asitoke nje ya reli mpaka 2025.Mambo mbalimbali yameendelea baada ya Maandamano ikiwemo mgao wa Umeme kufikia kikomo na Sukari kupatikana bila matatizo.
Tulitegemea Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lisu atoke kuishukuru Serikali.
Lakini tunawaona Akina Sugu, Heche, Lema, Mbowe walau wakiisifia Serikali kwa namna Moja au nyingine Lakini Lisu amekuwa kimya sana.
Jumaa Mubarak 😄
Mambo mbalimbali yameendelea baada ya Maandamano ikiwemo mgao wa Umeme kufikia kikomo na Sukari kupatikana bila matatizo.
Tulitegemea Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lisu atoke kuishukuru Serikali.
Lakini tunawaona Akina Sugu, Heche, Lema, Mbowe walau wakiisifia Serikali kwa namna Moja au nyingine Lakini Lisu amekuwa kimya sana.
Jumaa Mubarak 😄