Baada ya Kuwagaragaza vijana wa vyama vya Upinzani kwangu Mimi Paul Makonda ni mfano wa kuigwa

Troll JF

JF-Expert Member
Feb 6, 2015
7,804
12,237
Zile Kelele za Mlango sasa hivi kimya wanatapatapa hata Dada yao mpendwa wa Instagram amepunguza Kabisa kumtungia hadithi hakika amewagaragaza.

Vetting inayofanyika mpaka Mtu anakua mkuu wa Mkoa si mchezo halafu mtu anakuja kusemsema Paul Makonda Msomi wa Chuo Kikuu kuwa ana vyeti feki? Ki Ukweli Paul Makonda ni zaidi ya Mwenyekiti wenu/mtuhumiwa wa madawa ya Kulevya wanobisha walete vyeti vya Mwenyekiti.

Kila wakirukia huku wanaumbuka Ona walikua wanamsema Kinana na Jana akatokea akiwa na afya njema aibu tupu sasa wanatafutafuta uongo mwingine.

Makonda ni Bingwa wa siasa za Nchi hii namuombea mwaka 2020 apate Ubunge akabidhiwe wizara ni hazina kwa taifa hata Ukiangalia wana Arusha walivyokua wakipambana kumgusa mkono wake tuu ndiyo utajua ni Kiongozi anayekubalika.


Mimi sina Chama ni Neutralist!
 
Zile Kelele za Mlango sasa hivi kimya wanatapatapa hata Dada yao mpendwa wa Instagram amepunguza Kabisa kumtungia hadithi hakika amewagaragaza.

Vetting inayofanyika mpaka Mtu anakua mkuu wa Mkoa si mchezo halafu mtu anakuja kusemsema Paul Makonda Msomi wa Chuo Kikuu kuwa ana vyeti feki? Ki Ukweli Paul Makonda ni zaidi ya Mwenyekiti wenu/mtuhumiwa wa madawa ya Kulevya wanobisha walete vyeti vya Mwenyekiti.

Kila wakirukia huku wanaumbuka Ona walikua wanamsema Kinana na Jana akatokea akiwa na afya njema aibu tupu sasa wanatafutafuta uongo mwingine.

Makonda ni Bingwa wa siasa za Nchi hii namuombea mwaka 2020 apate Ubunge akabidhiwe wizara ni hazina kwa taifa hata Ukiangalia wana Arusha walivyokua wakipambana kumgusa mkono wake tuu ndiyo utajua ni Kiongozi anayekubalika.


Mimi sina Chama ni Neutralist!
Vyeti feki wengi we huna chama seriosly
 
Zile Kelele za Mlango sasa hivi kimya wanatapatapa hata Dada yao mpendwa wa Instagram amepunguza Kabisa kumtungia hadithi hakika amewagaragaza.

Vetting inayofanyika mpaka Mtu anakua mkuu wa Mkoa si mchezo halafu mtu anakuja kusemsema Paul Makonda Msomi wa Chuo Kikuu kuwa ana vyeti feki? Ki Ukweli Paul Makonda ni zaidi ya Mwenyekiti wenu/mtuhumiwa wa madawa ya Kulevya wanobisha walete vyeti vya Mwenyekiti.

Kila wakirukia huku wanaumbuka Ona walikua wanamsema Kinana na Jana akatokea akiwa na afya njema aibu tupu sasa wanatafutafuta uongo mwingine.

Makonda ni Bingwa wa siasa za Nchi hii namuombea mwaka 2020 apate Ubunge akabidhiwe wizara ni hazina kwa taifa hata Ukiangalia wana Arusha walivyokua wakipambana kumgusa mkono wake tuu ndiyo utajua ni Kiongozi anayekubalika.


Mimi sina Chama ni Neutralist!

Duh bado uko katika zama za upumbavu.
 
Bingwa tena!?

Exactly.........

a3dddd0632c0910e452897e99fb543b3.jpg
 
Zile Kelele za Mlango sasa hivi kimya wanatapatapa hata Dada yao mpendwa wa Instagram amepunguza Kabisa kumtungia hadithi hakika amewagaragaza.

Vetting inayofanyika mpaka Mtu anakua mkuu wa Mkoa si mchezo halafu mtu anakuja kusemsema Paul Makonda Msomi wa Chuo Kikuu kuwa ana vyeti feki? Ki Ukweli Paul Makonda ni zaidi ya Mwenyekiti wenu/mtuhumiwa wa madawa ya Kulevya wanobisha walete vyeti vya Mwenyekiti.

Kila wakirukia huku wanaumbuka Ona walikua wanamsema Kinana na Jana akatokea akiwa na afya njema aibu tupu sasa wanatafutafuta uongo mwingine.

Makonda ni Bingwa wa siasa za Nchi hii namuombea mwaka 2020 apate Ubunge akabidhiwe wizara ni hazina kwa taifa hata Ukiangalia wana Arusha walivyokua wakipambana kumgusa mkono wake tuu ndiyo utajua ni Kiongozi anayekubalika.


Mimi sina Chama ni Neutralist!
mtu amelindwa na mkuu wa nchi muda wote unasema ni bingwa kivipi sasa? Harafu unasema we ni neutral wakati toka mwanzo wa maelezo yako mpaka mwisho unaonesha we ni ccm.........kwa kweli tuna safari ndefu sana ya kwenda kama.....
Ndo maana nchi iko maskini kabisa!!
 
We akili yako ni ndogo kama tone la mchanga......mtu amelindwa na mkuu wa nchi muda wote unasema ni bingwa kivipi sasa? Harafu unasema we ni neutral wakati toka mwanzo wa maelezo yako mpaka mwisho unaonesha we ni ccm.........kwa kweli tuna safari ndefu sana ya kwenda kama.....
Ndo maana nchi iko maskini kabisa!!
Screenshot_2017-05-09-15-34-53.png
 
Back
Top Bottom