Baada ya kuvisha pete ya uchumba, Chidy Design amkana Wolper

warumi

R I P
May 6, 2013
16,273
18,382
It sounded like a Kiki before, ila shortly after hearing jack Mini interview , kuwa walikua wana date na jamaa and it has been only two weeks ndipo jamaa akaamua kumchumbia, mind you nasikia jamaa akawa anamlazimisha wolper Sijui wafanye biashara flan hivi , sasa Naona jamaa kama alikua anataka push apate kiki . Pia Jacky alikua analalamika jamaa alikua anamfuata kazin na kumlazimisha waondoke wote saa mbili usku wakat yeye amezoea kukaa kazin kwake mda mrefu zaidi kwa ajili ya wateja wake.

What I’m seeing it’s either kweli inaweza kuwa kiki , or jamaa just wanted to use Jacky kwa gear ya ndoa and all that hili atimize matakwa yake ya biashara.

But I put all the blame kwa Jacky, you are beautiful, una jituma na una umaarufu wa kutosha why ujiingize kwenye mahusiano na vijana wasioleweka , jacky wa kudate na kina meja? , chidy ? , yani ukichek background ya wanaume anaodate wolper kwa kweli it’s pathetic , they say love is blind but https://jamii.app/JFUserGuide it , unashindwa mpaka na mtoto mdogo kama lulu ? Shame on you , tunajua huna elimu na pia uwezo wako wa kufikiri na exposure uliyonayo ni ndogo , hakuna mwanaume wa maana utakayezana naye kama usipobadilika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom