Baada ya kutafakari sana, huyu ndiye nitakayemchagua kuwa rais wangu!

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,880
Niweke kumbukumbu sawa, nilishaamua kuhusu ubunge na udiwani.

Haya ninayasema kwa dhati kabisa baada ya kusikiliza hotuba ya Slaa na kupitia chunguzi mbalimbali!

Mnamo siku ya jumanne Slaa alitoa hotuba yake iliyojaa tuhuma mbalimbali dhidi ya Gwajima, Maaskofu 30 wa kanisa katoliki, Lowassa, Masha na Sumaye.

Niliitafakari sana hotuba ile na baada ya kushindwa kupata uhakika nikaingia kwenye vyombo vyangu vya uchunguzi vilivyo ndani ya familia mpya ya Slaa kupata uhakika!

Kuna swali moja ambalo mimi nilijiuliza siku ileile na baadaye nimemsikia Tundu Lissu kwenye redio moja ya kimataifa akiuliza swali hilohilo "Kwanini sasa? " "Why now? "

Naomba nithibitishe kuwa mtu wa kwanza kabisa ndani ya Chadema kuwasiliana na Lowassa ni Slaa! Yeye ndiye aliyepanga mipango yote wakishirikiana na Gwajima.

Slaa aliendelea kuwa karibu na Gwajima huku akimshawishi awe karibu sana na Lowassa kumshawishi kwa hali na mali ahamie Chadema endapo ATAKATWA!

Asipokatwa itakuwaje?
Baadhi yetu tulijua na tulikuwa na uhakika kuwa ni lazima Lowassa akatwe! Alikatwa kabla hajachukua fomu CCM, alikatwa kabla ya kutangaza nia ya urais ndani ya CCM. Hivyo hilo tulikuwa na uhakika nalo!

Mbowe alijulishwa baadaye sana kuhusu ujio wa Lowassa. Asishutumiwe kuwa aliiuza Chadema kwa Lowassa! Tena niwahakikishie kuwa Mbowe alishtuka sana kusikia maneno ya kumkaribisha Lowassa yakitoka kinywani mwa Slaa!

Nini tatizo?
Slaa alikosea sana kufanya mambo haya bila kumshirikisha Josephine (mwenza wake) katika hatua za awali kabisa! Josephine alikuja kukasirika sana baada ya kuona picha (nasisitiza tena kuona picha) za Lowassa akiwa na viongozi wa Chadema akiwepo Slaa!

Josephine baada ya hilo akakengeuka na ikawa ni jino kwa jino kati yake na Slaa. Akaanza mipango.

Kuna thread moja niliileta humu nikiwatuhuma mke wa kigogo mmoja wa Chadema pamoja na kigogo mmoja wa CUF wakitumiwa na CCM kuhujumu UKAWA! Hiyo mipango niliipata kutoka kwa mtu wa karibu wa Sofia Simba na bahati mbaya sana ile thread mods waliichomoa ndani ya sekunde 30. Ilikuwa siku ambayo Magufuli alienda kuchukua fomu tume ya uchaguzi.

CCM walifanikisha mipango yao dhidi ya watu hao wawili kwa unafuu sana! Hawakuamini! Sasa ikabaki kwa Slaa (hilo jukumu aliachiwa mwenza)

Baada ya hapo nilichokishuhudia ni kama hivyo! Nilijua kuwa Slaa angeachana na siasa lakini sikufahamu kama ameongea vile! Hilo ndilo hasa dhumuni langu!

Kwanini sasa? Kwanini isiwe ndani ya kamati kuu ameyasema haya ili waamue kama kweli Slaa anakipenda chama alichokitolea jasho na damu? Kwanini baada ya Chadema kukamilisha taratibu zote za tume? Ila wakati tukijiuliza hayo tuweke kumbukumbu sawa kuwa engineer wa kumleta Lowassa Chadema alikuwa Slaa! Kwanini sasa? Kwanini isiwe ndani ya vikao vya chama kama alitaka kukinusuru chama? Maana tuhuma zote alizotoa zilikuwa ni za zamani sana kabla Lowassa hajaanza hata harakati za urais, hivyo alikuwa na ushahidi wa kutosha kabisa kuupeleka ndani ya vikao vya chama! Kwanini sasa?

Pia tuelewe kuwa kwenye hotuba ya Slaa alijichanganya sana! Kuna sehemu anasema wazi kuwa alikuwa na ushahidi wa kutosha kuwa Lowassa siyo msafi. Hapohapo anasema kuwa alitaka kwanza Lowassa aeleze ukweli wote kuhusu Richmond ndipo apokelewe Chadema! Utamtakaje mtu ajisafishe kwanza huku ukiwa na ushahidi wa waziwazi kuwa ni mchafu? Hiyo ni hadaa!

Pia zipo sehemu kwenye hotuba yake alionyesha chuki za waziwazi! Mimi nikajiuliza tena, uswahiba uliotukuka kati ya Gwajima na Slaa ulikufa lini? Hawa watu walikuwa marafiki hadi mambo ya familia walikuwa wakishirikishana!

Nini tatizo?
Ni nguvu ya mwenza! Slaa alitekwa na mwenza. Mwenza alifanya mipango hiyo chini ya miongozo maalum kutoka ndani ya 'system'

Slaa kwa sasa ni mtumishi halali wa CCM! Na ataifanya kazi hiyo hadi October 24!

Mimi G Sam nimetafakari sana kuhusu Lowassa! Kama kweli angekuwa mtu hatari hivi kama tunavyoaminishwa kwa nguvu kila kona basi angekuwa ameshaozea jela! Nilishagundua kuwa hizo zote kwa Lowassa ni chuki tuu! Nilikuwa na tatizo moja kuhusu Lowassa kulimiliki jukwaa ila kuna kitu nimejifunza na nitakuja kuelezea huko mbeleni! Kwasasa kura yangu ni kwa Lowassa! Sitothubutu kubadilisha maamuzi yangu haya!

Kwa sasa nimeachana kabisa na siasa za Slaa na sitokaa nitoe tena kitu kutoka kwake! Sitokaa tena nijifunze siasa zake! Chama kilichokulea na kukufanya ufike hapo ilipo huwezi kukisemea kama alivyofanya Slaa! Alitaka chama kibomoke eti kwa kuwa sasa hana tena maslahi nacho? Amesahau haraka hivyo alipotoka? Huu ni zaidi ya usaliti!

Niishie kwa kusema kuwa kwa sasa Slaa sitokaa nimuite tena dokta!
 
Last edited by a moderator:
Niweke kumbukumbu sawa, nilishaamua kuhusu ubunge na udiwani.

Haya ninayasema kwa dhati kabisa baada ya kusikiliza hotuba ya Slaa na kupitia chunguzi mbalimbali!

Mnamo siku ya jumanne Slaa alitoa hotuba yake iliyojaa tuhuma mbalimbali dhidi ya Gwajima, Maaskofu 30 wa kanisa katoliki, Lowassa, Masha na Sumaye.

Niliitafakari sana hotuba ile na baada ya kushindwa kupata uhakika nikaingia kwenye vyombo vyangu vya uchunguzi vilivyo ndani ya familia mpya ya Slaa kupata uhakika!

Kuna swali moja ambalo mimi nilijiuliza siku ileile na baadaye nimemsikia Tundu Lissu kwenye redio moja ya kimataifa akiuliza swali hilohilo "Kwanini sasa? " "Why now? "

Naomba nithibitishe kuwa mtu wa kwanza kabisa ndani ya Chadema kuwasiliana na Lowassa ni Slaa! Yeye ndiye aliyepanga mipango yote wakishirikiana na Gwajima.

Slaa aliendelea kuwa karibu na Gwajima huku akimshawishi awe karibu sana na Lowassa kumshawishi kwa hali na mali ahamie Chadema endapo ATAKATWA!

Asipokatwa itakuwaje?
Baadhi yetu tulijua na tulikuwa na uhakika kuwa ni lazima Lowassa akatwe! Alikatwa kabla hajachukua fomu CCM, alikatwa kabla ya kutangaza nia ya urais ndani ya CCM. Hivyo hilo tulikuwa na uhakika nalo!

Mbowe alijulishwa baadaye sana kuhusu ujio wa Lowassa. Asishutumiwe kuwa aliiuza Chadema kwa Lowassa! Tena niwahakikishie kuwa Mbowe alishtuka sana kusikia maneno ya kumkaribisha Lowassa yakitoka kinywani mwa Slaa!

Nini tatizo?
Slaa alikosea sana kufanya mambo haya bila kumshirikisha Josephine (mwenza wake) katika hatua za awali kabisa! Josephine alikuja kukasirika sana baada ya kuona picha (nasisitiza tena kuona picha) za Lowassa akiwa na viongozi wa Chadema akiwepo Slaa!

Josephine baada ya hilo akakengeuka na ikawa ni jino kwa jino kati yake na Slaa. Akaanza mipango.

Kuna thread moja niliileta humu nikiwatuhuma mke wa kigogo mmoja wa Chadema pamoja na kigogo mmoja wa CUF wakitumiwa na CCM kuhujumu UKAWA! Hiyo mipango niliipata kutoka kwa mtu wa karibu wa Sofia Simba na bahati mbaya sana ile thread mods waliichomoa ndani ya sekunde 30. Ilikuwa siku ambayo Magufuli alienda kuchukua fomu tume ya uchaguzi.

CCM walifanikisha mipango yao dhidi ya watu hao wawili kwa unafuu sana! Hawakuamini! Sasa ikabaki kwa Slaa (hilo jukumu aliachiwa mwenza)

Baada ya hapo nilichokishuhudia ni kama hivyo! Nilijua kuwa Slaa angeachana na siasa lakini sikufahamu kama ameongea vile! Hilo ndilo hasa dhumuni langu!

Kwanini sasa? Kwanini isiwe ndani ya kamati kuu ameyasema haya ili waamue kama kweli Slaa anakipenda chama alichokitolea jasho na damu? Kwanini baada ya Chadema kukamilisha taratibu zote za tume? Ila wakati tukijiuliza hayo tuweke kumbukumbu sawa kuwa engineer wa kumleta Lowassa Chadema alikuwa Slaa! Kwanini sasa? Kwanini isiwe ndani ya vikao vya chama kama alitaka kukinusuru chama? Maana tuhuma zote alizotoa zilikuwa ni za zamani sana kabla Lowassa hajaanza hata harakati za urais, hivyo alikuwa na ushahidi wa kutosha kabisa kuupeleka ndani ya vikao vya chama! Kwanini sasa?

Pia tuelewe kuwa kwenye hotuba ya Slaa alijichanganya sana! Kuna sehemu anasema wazi kuwa alikuwa na ushahidi wa kutosha kuwa Lowassa siyo msafi. Hapohapo anasema kuwa alitaka kwanza Lowassa aeleze ukweli wote kuhusu Richmond ndipo apokelewe Chadema! Utamtakaje mtu ajisafishe kwanza huku ukiwa na ushahidi wa waziwazi kuwa ni mchafu? Hiyo ni hadaa!

Pia zipo sehemu kwenye hotuba yake alionyesha chuki za waziwazi! Mimi nikajiuliza tena, uswahiba uliotukuka kati ya Gwajima na Slaa ulikufa lini? Hawa watu walikuwa marafiki hadi mambo ya familia walikuwa wakishirikishana!

Nini tatizo?
Ni nguvu ya mwenza! Slaa alitekwa na mwenza. Mwenza alifanya mipango hiyo chini ya miongozo maalum kutoka ndani ya 'system'

Slaa kwa sasa ni mtumishi halali wa CCM! Na ataifanya kazi hiyo hadi October 24!

Mimi G Sam nimetafakari sana kuhusu Lowassa! Kama kweli angekuwa mtu hatari hivi kama tunavyoaminishwa kwa nguvu kila kona basi angekuwa ameshaozea jela! Nilishagundua kuwa hizo zote kwa Lowassa ni chuki tuu! Nilikuwa na tatizo moja kuhusu Lowassa kulimiliki jukwaa ila kuna kitu nimejifunza na nitakuja kuelezea huko mbeleni! Kwasasa kura yangu ni kwa Lowassa! Sitothubutu kubadilisha maamuzi yangu haya!

Kwa sasa nimeachana kabisa na siasa za Slaa na sitokaa nitoe tena kitu kutoka kwake! Sitokaa tena nijifunze siasa zake! Chama kilichokulea na kukufanya ufike hapo ilipo huwezi kukisemea kama alivyofanya Slaa! Alitaka chama kibomoke eti kwa kuwa sasa hana tena maslahi nacho? Amesahau haraka hivyo alipotoka? Huu ni zaidi ya usaliti!

Niishie kwa kusema kuwa kwa sasa Slaa sitokaa nimuite tena dokta!


Safi sana kamanda kwa maamuzi magumu. Tunataka uchumi unaojitegemea na sio unaoendeshwa na mabanker wa wallstreet. Bei ya Gold ikiyumba kidogo tu Uchumi unatetereka kama ngema. Nimalize kwa kusema Lowassa pekee ndiye tumaini letu.
 
Well said mkuu. Mabadiliko lowasa, lowasa mabadiliko...watanzania atuambiliki wala atusikii tumeshafanya mamuzi kuwa lowasa ndie rais ajae. Siasa maji taka,majungu,fitina,uzadiki,uongo,ulaghai na chuki tunawachia mashetani(ccm) na mawakala wao(dokta na lipumbavu).
 
Mkuu g sam mimi baada tu ya kumwangalia anavyoongea alionekana kupaniki sio slaa yule niliekua nina mjua nilipata mashaka na kile anachokisema kuhusu kowasa why now pia ni swali nilijiuliza majibu nilipata lakini rose kamili amenisaidia kuamini majibu yangu kua anatumiwa na ccm kuua upinzani yeye na lipumba pia kutokuteuliwa kua mgombea urais kulizidisha hasira yake bila wasiwasi kwa sasa anatumiwa hata ajitetee vipi hawezi kueleweka na jamii namsikitikia tu heshima yake imeshuka kwa siku 1 na imepotea kabisa
 
Niweke kumbukumbu sawa, nilishaamua kuhusu ubunge na udiwani.

Haya ninayasema kwa dhati kabisa baada ya kusikiliza hotuba ya Slaa na kupitia chunguzi mbalimbali!

Mnamo siku ya jumanne Slaa alitoa hotuba yake iliyojaa tuhuma mbalimbali dhidi ya Gwajima, Maaskofu 30 wa kanisa katoliki, Lowassa, Masha na Sumaye.

Niliitafakari sana hotuba ile na baada ya kushindwa kupata uhakika nikaingia kwenye vyombo vyangu vya uchunguzi vilivyo ndani ya familia mpya ya Slaa kupata uhakika!

Kuna swali moja ambalo mimi nilijiuliza siku ileile na baadaye nimemsikia Tundu Lissu kwenye redio moja ya kimataifa akiuliza swali hilohilo "Kwanini sasa? " "Why now? "

Naomba nithibitishe kuwa mtu wa kwanza kabisa ndani ya Chadema kuwasiliana na Lowassa ni Slaa! Yeye ndiye aliyepanga mipango yote wakishirikiana na Gwajima.

Slaa aliendelea kuwa karibu na Gwajima huku akimshawishi awe karibu sana na Lowassa kumshawishi kwa hali na mali ahamie Chadema endapo ATAKATWA!

Asipokatwa itakuwaje?
Baadhi yetu tulijua na tulikuwa na uhakika kuwa ni lazima Lowassa akatwe! Alikatwa kabla hajachukua fomu CCM, alikatwa kabla ya kutangaza nia ya urais ndani ya CCM. Hivyo hilo tulikuwa na uhakika nalo!

Mbowe alijulishwa baadaye sana kuhusu ujio wa Lowassa. Asishutumiwe kuwa aliiuza Chadema kwa Lowassa! Tena niwahakikishie kuwa Mbowe alishtuka sana kusikia maneno ya kumkaribisha Lowassa yakitoka kinywani mwa Slaa!

Nini tatizo?
Slaa alikosea sana kufanya mambo haya bila kumshirikisha Josephine (mwenza wake) katika hatua za awali kabisa! Josephine alikuja kukasirika sana baada ya kuona picha (nasisitiza tena kuona picha) za Lowassa akiwa na viongozi wa Chadema akiwepo Slaa!

Josephine baada ya hilo akakengeuka na ikawa ni jino kwa jino kati yake na Slaa. Akaanza mipango.

Kuna thread moja niliileta humu nikiwatuhuma mke wa kigogo mmoja wa Chadema pamoja na kigogo mmoja wa CUF wakitumiwa na CCM kuhujumu UKAWA! Hiyo mipango niliipata kutoka kwa mtu wa karibu wa Sofia Simba na bahati mbaya sana ile thread mods waliichomoa ndani ya sekunde 30. Ilikuwa siku ambayo Magufuli alienda kuchukua fomu tume ya uchaguzi.

CCM walifanikisha mipango yao dhidi ya watu hao wawili kwa unafuu sana! Hawakuamini! Sasa ikabaki kwa Slaa (hilo jukumu aliachiwa mwenza)

Baada ya hapo nilichokishuhudia ni kama hivyo! Nilijua kuwa Slaa angeachana na siasa lakini sikufahamu kama ameongea vile! Hilo ndilo hasa dhumuni langu!

Kwanini sasa? Kwanini isiwe ndani ya kamati kuu ameyasema haya ili waamue kama kweli Slaa anakipenda chama alichokitolea jasho na damu? Kwanini baada ya Chadema kukamilisha taratibu zote za tume? Ila wakati tukijiuliza hayo tuweke kumbukumbu sawa kuwa engineer wa kumleta Lowassa Chadema alikuwa Slaa! Kwanini sasa? Kwanini isiwe ndani ya vikao vya chama kama alitaka kukinusuru chama? Maana tuhuma zote alizotoa zilikuwa ni za zamani sana kabla Lowassa hajaanza hata harakati za urais, hivyo alikuwa na ushahidi wa kutosha kabisa kuupeleka ndani ya vikao vya chama! Kwanini sasa?

Pia tuelewe kuwa kwenye hotuba ya Slaa alijichanganya sana! Kuna sehemu anasema wazi kuwa alikuwa na ushahidi wa kutosha kuwa Lowassa siyo msafi. Hapohapo anasema kuwa alitaka kwanza Lowassa aeleze ukweli wote kuhusu Richmond ndipo apokelewe Chadema! Utamtakaje mtu ajisafishe kwanza huku ukiwa na ushahidi wa waziwazi kuwa ni mchafu? Hiyo ni hadaa!

Pia zipo sehemu kwenye hotuba yake alionyesha chuki za waziwazi! Mimi nikajiuliza tena, uswahiba uliotukuka kati ya Gwajima na Slaa ulikufa lini? Hawa watu walikuwa marafiki hadi mambo ya familia walikuwa wakishirikishana!

Nini tatizo?
Ni nguvu ya mwenza! Slaa alitekwa na mwenza. Mwenza alifanya mipango hiyo chini ya miongozo maalum kutoka ndani ya 'system'

Slaa kwa sasa ni mtumishi halali wa CCM! Na ataifanya kazi hiyo hadi October 24!

Mimi G Sam nimetafakari sana kuhusu Lowassa! Kama kweli angekuwa mtu hatari hivi kama tunavyoaminishwa kwa nguvu kila kona basi angekuwa ameshaozea jela! Nilishagundua kuwa hizo zote kwa Lowassa ni chuki tuu! Nilikuwa na tatizo moja kuhusu Lowassa kulimiliki jukwaa ila kuna kitu nimejifunza na nitakuja kuelezea huko mbeleni! Kwasasa kura yangu ni kwa Lowassa! Sitothubutu kubadilisha maamuzi yangu haya!

Kwa sasa nimeachana kabisa na siasa za Slaa na sitokaa nitoe tena kitu kutoka kwake! Sitokaa tena nijifunze siasa zake! Chama kilichokulea na kukufanya ufike hapo ilipo huwezi kukisemea kama alivyofanya Slaa! Alitaka chama kibomoke eti kwa kuwa sasa hana tena maslahi nacho? Amesahau haraka hivyo alipotoka? Huu ni zaidi ya usaliti!

Niishie kwa kusema kuwa kwa sasa Slaa sitokaa nimuite tena dokta!

haya ndo matatizo ya bendera fata upepo, mabadiliko haya wezi kuja hivihivi. mtakoma sana.
 
Last edited by a moderator:
Salaam Watanzania wenzangu
Mimi si mchangiaji sana kama baadhi ya watu humu jukwaani ila ni moja kati ya watu ambao hukesha humu kujifunza vitu mbalimbali
Leo najitokeza na mimi kusema nimachoamini ni ukweli tukiachilia mbali propaganda zinazoletwa na baadhi ya watu humu kwakua labda ndiyo kazi yao inayowaweka hapa mjini
Sasa ni hivi. Sifa moja wapo ya kiongozi mziri ni kuwa proactive yaani uwezo wa kuchukua maamuzi kabla ya madhara na siyo kuja kushughulikia tatizo likishatokea
Kwa mazingira ya siasa zetu hasa katika kipindi hiki tunashuhudia mengi sana na leo naomba na mimi nitoe maoni kuhusu mambo machache kati ya yale yaliyotolewa na Dr slaa
1.kama kiongozi mkubwa wa chama mwenye uwezo wa kuitisha press kama ile ya juzi kwanini alikaa kimya kabla maamuzi ya chama chake hayajaletwa kwa wananchi kuhusu mgombea urais kwa chama hicho? Kwakuwa alikua kwenye vikao vya ndani ya chama hicho kwanini asingejitokeza kwa wananchi akasema jamani kitendo kinachotaka kufanywa na chama changu si cha afya kwa chama na taifa kwa ujumla mkikatae kabla hakijatokea.?
2.kwakua chadema anaamini ina mifumo mizuri isiyo na shaka na ni yeye aliyeshiriki kuijenga na ilani ya chama pia kashiriki kuiandaa na ndio miongozo kwa utawala mpya ujao je? Lowassa alikuja na ilani na mifumo yake kiasi cha kukifanya chama hicho kumezwa na mtu mmoja?
3.kama ile list ya mafisadi ilikua na watu 11 je ni bora CCM yenye mafisadi 9 waliobakia iendelee kutawala?
4.kati ya mambo ambayo siku zote alikuwa akiyapigania ni mabadiliko ya mfumo je? Leo hii CCM ina mfumo bora zaidi wa utawala kuliko ule ambao yeye mwenyewe ameujenga?
5.kama anasema hana upande anaoutetea je? Nini maana ya kuinyima kura chadema na mgombea wao? Je anataka kuwashawishi wananchi wasipige kura kabisa hasa wale ambao amewaaminisha yeye mwenyewe kwamba CCM haifai? Je kura zisipopigwa adhma ya mabadiliko itakua imetimia?
6.kama anaamini kupigania usafi wa siasa za Tanzania je? Atawezaje kuifanya siasa hii ikawa safi ilhali yeye akiwa nje ya siasa?
7.Nguvu hizi nyingi anazotumia sasa kupambana na lowassa kwanini asingezitumia hapo kabla ili kunusuru usafi wa siasa za chama cha CHADEMA?
Napata maswali mengi sana lakini kwa leo niishie hapa hoja hizi tuzitafakari na nitarudi kuleta nyingine kwasababu naamini tunaweza kuzifitulia mbali siasa za namna hii za watu ambao wanataka kutuharibia uchaguzi baada ya watu kuamua tayari
NB: The Boss alilalamika humu kuhusu watu kuleta threads mpaka 20 na mods wanawaangalia tu tafadhali mods naomba uacheni uzi huu maana hamkawii
 
Nimecheka kweli baada ya kusoma uzi huu nikikumbuka na ule uzi wa kuondoka na Dr.SLAA.
Ila hongera sana kwa kufanya uchunguzi na kujiridhisha pasi na shaka kuwa DR SLAA amekuwa wakala wa CCM kisa mke wake.
 
G Sam ktk ubora wake. Ila uwe na msimamo sasa, maana juzi umetoa thread ya kumfata Slaa. Leo unamkana uwe na msimamo mzee wa baby walker😅
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom