Mwasita Moja
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 2,903
- 2,580
Wote tumeona kasi ya Rais Magufuli ndani ya mwaka mmoja wa utawala wake.
1. Kufukuza majizi yote ndani ya serikali na kukimbilia chadema.
2. Kufukuza majizi yote bandarini na kufunga kamera kila sehemu
3. Elimu bure
4. Makusanyo ya kodi kuongezeka
5. Flyovers kila mahali
6. Heshima ya Tanzania kurudi kimataifa
7. Kufutwa kwa safari za nje
8. Kufutwa kwa mgawo wa umeme nchini.
Kama angeshinda Lowasa angeiweza hii kasi ya Magufuli? Kama sasa hivi chama chake kiko bize kutetea wakwepa kodi na mafisadi, je kama angeshinda angeweza kupambana nao??
1. Kufukuza majizi yote ndani ya serikali na kukimbilia chadema.
2. Kufukuza majizi yote bandarini na kufunga kamera kila sehemu
3. Elimu bure
4. Makusanyo ya kodi kuongezeka
5. Flyovers kila mahali
6. Heshima ya Tanzania kurudi kimataifa
7. Kufutwa kwa safari za nje
8. Kufutwa kwa mgawo wa umeme nchini.
Kama angeshinda Lowasa angeiweza hii kasi ya Magufuli? Kama sasa hivi chama chake kiko bize kutetea wakwepa kodi na mafisadi, je kama angeshinda angeweza kupambana nao??