Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,814
Wakuu ama kweli Mtoto wa Nyerere Andrew Nyerere amekua kuyakomesha haya matapeli , manyonyaji , madhulumati ya Haki za Watu na Mafujaji ya Rasilimali za Nchi !!.
Mpaka Sasa Hamna Mtoto wa Nyerere ambaye ametoka hadharani kupinga au kukosoa maamuzi ya Kaka Yao Mkubwa Andrew Nyerere juu ya Marufuku ya Samia kutotembelea Kaburi la Nyerere
Ukweli ni kua, Kwa yanayoendelea hapa Nchini ,kutembelea Kaburi la Baba wa TAIFA, ni kuunajisi UTAKATIFU WAKE !!.
Baba wa Taifa alichukia Rushwa, Ufisadi, Umasikin, Uonevu, Uminywaji wa HAKI, Baba wa Taifa alikubali Vyama vinginvya Siasa, in fact Kama Nyerere angefufuka Leo, basi Angelia machozi ya Damu.
Baada ya Kuona Wamepigwa , Sasa Genge la Samia, limekimbilia MGONGO WA CHIFU JAPHET , huyu ni CHIFU WA KABILA LA WATIAMA WAZAWA WA BUTIAMA.
Ni nani hasa ?? Je ana Mamlaka ya kuongea Kwa Niaba ya Familia kama Alivyoongea Andrew Nyerere??.
JIBU NI HAPANA !!.
JAPHET ni Mtoto wa Chifu Wanzagi, Chifu Wanzagi na Nyerere ndio walikua MTU na Kaka yake
Chifu Wanzagi alikua na Wanawake zaidi ya 7 hivo ana Wanafamilia wengi .
Huyu Japheti akapewa Uchifu miaka Kadhaa Nyuma .
Hivo CHIFU JAPHET ana Mamlaka tu ya kuzungumzia Masuala ya kimila na kitamadani ya kabila la Wazanaki na wa Ukoo wa Wanzagi Kwa ujumla.
Hana Mamlaka ya kuzungumzia Masuala ya Familia Nyerere Wala ya Mzanaki Mmoja Mmoja !!.
Kuongezea tu, Katika Machifu wa Kizanaki wanaotajwa kuchukiwa na WATIAMA wenyewe ,ni huyu Chifu JAPHET , huyu Chifu hakubaliki Kwa namna anavyoendesha masuala Kabila na hata ya Ndani ya Ukooo wa Wanzagi wenyewe !!.
Soma Pia: Familia ya Mwl. Nyerere yakamataa Andrew Nyerere na kauli yake. Yakamribisha rais Samia Butiama
Itoshe kusema, wamemtumia chifu, baada ya jitahada zao za kutafuta mtoto wa nyerere ajifanye kukosoa maneno na marufuku aloiweka andrew nyerere kushindikana !!.
Sijawahi ona rais anakataliwa na kila ngazi ya mtanzanzia kama rais Samia.
Mpaka Sasa Hamna Mtoto wa Nyerere ambaye ametoka hadharani kupinga au kukosoa maamuzi ya Kaka Yao Mkubwa Andrew Nyerere juu ya Marufuku ya Samia kutotembelea Kaburi la Nyerere
Ukweli ni kua, Kwa yanayoendelea hapa Nchini ,kutembelea Kaburi la Baba wa TAIFA, ni kuunajisi UTAKATIFU WAKE !!.
Baba wa Taifa alichukia Rushwa, Ufisadi, Umasikin, Uonevu, Uminywaji wa HAKI, Baba wa Taifa alikubali Vyama vinginvya Siasa, in fact Kama Nyerere angefufuka Leo, basi Angelia machozi ya Damu.
Baada ya Kuona Wamepigwa , Sasa Genge la Samia, limekimbilia MGONGO WA CHIFU JAPHET , huyu ni CHIFU WA KABILA LA WATIAMA WAZAWA WA BUTIAMA.
Ni nani hasa ?? Je ana Mamlaka ya kuongea Kwa Niaba ya Familia kama Alivyoongea Andrew Nyerere??.
JIBU NI HAPANA !!.
JAPHET ni Mtoto wa Chifu Wanzagi, Chifu Wanzagi na Nyerere ndio walikua MTU na Kaka yake
Chifu Wanzagi alikua na Wanawake zaidi ya 7 hivo ana Wanafamilia wengi .
Huyu Japheti akapewa Uchifu miaka Kadhaa Nyuma .
Hivo CHIFU JAPHET ana Mamlaka tu ya kuzungumzia Masuala ya kimila na kitamadani ya kabila la Wazanaki na wa Ukoo wa Wanzagi Kwa ujumla.
Hana Mamlaka ya kuzungumzia Masuala ya Familia Nyerere Wala ya Mzanaki Mmoja Mmoja !!.
Kuongezea tu, Katika Machifu wa Kizanaki wanaotajwa kuchukiwa na WATIAMA wenyewe ,ni huyu Chifu JAPHET , huyu Chifu hakubaliki Kwa namna anavyoendesha masuala Kabila na hata ya Ndani ya Ukooo wa Wanzagi wenyewe !!.
Soma Pia: Familia ya Mwl. Nyerere yakamataa Andrew Nyerere na kauli yake. Yakamribisha rais Samia Butiama
Itoshe kusema, wamemtumia chifu, baada ya jitahada zao za kutafuta mtoto wa nyerere ajifanye kukosoa maneno na marufuku aloiweka andrew nyerere kushindikana !!.
Sijawahi ona rais anakataliwa na kila ngazi ya mtanzanzia kama rais Samia.