mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,392
- 3,914
- Thread starter
- #41
pili bikira ni kwa bikira Maria tu....nyie wengine ni bikra.
Kumbukumbu la Torati 22 : 17
- angalieni, amemwekea mambo ya aibu, asema, Sikuona kwa binti yako alama za ubikira, nazo hizi ndizo alama za binti yangu za ubikira. Na wayakunjue yale mavazi mbele ya wazee wa mji.
Jamani hebu niliwazee acha kuniumiza moyo