Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,231
Kama wasemavyo wengi kwamba Kikao cha SADC nchini Tanzania ni fursa kwa Watanzania basi huenda ikawa kweli , maana kwa mtu yeyote kukamatwa ama kutekwa kwenye nchi yake maana yake ni kwamba USALAMA WAKE uko hatarini , huo ndio ukweli .
Mtekwaji , Mkamatwaji au Mnyanyaswaji aweza kujiongeza na kutafuta fursa popote ,anapoona usalama wake umehakikishwa , maana kwa sasa dunia ni kama kijiji , wala msishangae