Kuandika mistar ya bible sio kua n muumini hata mm naweza shusha verse na matendo yakawa tofauti na vile unavofikiri kama moyo Wako umeamua bas hakuna namna jiongeze
Ni rahisi zaidi kumshauri mtu kuhusu girfriend/boyfriend, kwa maelezo yako inaonekana unahitaji kuoa kama sijakosea, ni ngumu sana kushauri juu ya mke/mume kwasababu ya dhana nzima ya "milele" i.e wa kufa na kuzikana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.