Baada ya kumkosa yeye

Baada ya kumkosa yeye

Kuandika mistar ya bible sio kua n muumini hata mm naweza shusha verse na matendo yakawa tofauti na vile unavofikiri kama moyo Wako umeamua bas hakuna namna jiongeze
 
Kupata maamuzi ya kuhamishia hisia kwa mdogo wake maana yake ulikuwa unawataka wote toka zamani... tabia tako mbaya..
 
Ni rahisi zaidi kumshauri mtu kuhusu girfriend/boyfriend, kwa maelezo yako inaonekana unahitaji kuoa kama sijakosea, ni ngumu sana kushauri juu ya mke/mume kwasababu ya dhana nzima ya "milele" i.e wa kufa na kuzikana
 
We subir ukishakua close na hyo mdogo wake utakuja na story za dada ake anataka kukumbushia. .
 
mkuuu maisha ni zaidi ya instagram....tabia za mtu hazisomwi kwa post za insta...

sio vibaya kumfatilia ila jipe muda zaidi kujiridhisha na tabia zake na sio kuishia instagramu

kila la kheri... but usije mtaman mke wa bro wako
 
Back
Top Bottom