Baada ya kula bamia kwa wingi uume umegoma kulala


Unatoa maelekezo ya kutibu 'ugonjwa' wa kibamia?
 
Yuko sawa kabisa. Magonjwa ya vidonda vya tumbo, husababisha Impotent, (kupungua kwa nguvu za kiume). Ukijitibu vidonda vya tumbo, nguvu za kiume hurudi katika hali ya kawaida. Bamia(okra), juice ya vitunguu maji, juice ya tikiti maji iliyochanganywa na asali, ndizi mbivu hasa ndizi sukari, ni baadhi ya vyakula vinavyotibu Impotent.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bamia

Sodiamu inayoridhisha kwenye bamia ni kubwa sana,pia imejumuisha mucin,ambayo inatunza ngozi na kuituliza pia ngozi inayo washa ya eneo la matumbo.Bamia ina utendaji wa alkali.
 
Utafanya mabamia yapande bei gengeni/sokoni.
mkuu hizo story ni kweli au ni porojo? mbona unataka bamia zipande bei?
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Bei ya bamia yapanda ghafla huko Daslam....
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

Utafanya bamia iwe adimu sokoni [emoji3] [emoji3] [emoji3] maana wale wasiopandisha itakuwa tabu kwa bamia
ahahhahahahahahahahah
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
LICHADI,

Duuuuuuh,
Kweli dunia ina mambo.

Hujui tu labda Mzee kakuona hauna mke/hata Binti anayekuja gheto kwako hivyo kafikilia kuwa jogoo wako hapandi mtungi basi akaamua kukupa dawa kwa njia ya kisela.
 
Nina shamba la bamia

Nothing straight from crooked timber of humanity can be done
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…