Watanganyika wamewasiliti watanganyika wenzao sasa tunapo walaumu wazee wetu dhidi ya wakoloni wa kizungu sijui tofauti iko wapi.Watanganyika sisi ni wajinga sana
Wacha tunyooshwe ili akili ije nWatanganyika wamewasiliti watanganyika wenzao sasa tunapo walaumu wazee wetu dhidi ya wakoloni wa kizungu sijui tofauti iko wapi.
YUPO!, MUNGU.Na ninapo sema jiandaeni namaanisha mjiandae kwa mengi yaani, mateso,dhihaka kejeli na mengine mengi na hamta kuwa na la kufanya kwa sababu hayupo aliye upande wenu kwa sasa na hayupo wakuwasaidia kwa sasa.