Baada ya kuhitimu chuo uliendeshaje maisha?

Sio hivyo mkuu..unajua hiyo ya kufanya ishu nyingine ambazo hazirelate na mambo mtu aliyosomea inatokana na ajira kukosekana..sasa mtu atakaa tu bila kupambana apate kula,hata kwa kufanya ishu ambazo hazirelate na mambo aliyosomea??

Na pia ni mara chache sana mtu aliyesomea udaktari akauza supu mtaani..sisemi kuwa haiwezekani,ila sidhani kama wapo..
 
Tukubali tukatae watanzania tulio wengi vyuoni tunasomea ajira, ndio mana tukiingia mtaani tukikosa tunachokitegemea (ajira) maisha tayari yanabadilika. Hatuna master plan of our own life yaani mtu hajui hiki nachokisomea nitakifanyia nini tofauti na ajira.
Mimi nataka kufungua mgahawa natafuta shule ya mapishi najifunza nimemaliza kusoma narudi kitaa natafuta mtaji nakamilisha ndoto yangu ya kufungua mgahawa. Wengi wetu procedure za kufikiria maisha baada ya chuo, hata kabla ya kuanza chuo hatuna.!
 
Nimekusoma..ila let say mtu ameenda kusoma udaktari,ufamasia,civil engineer,..wakimaliza wanawezaje kuenda kufanya vitu vyao wenyewe bila ya kuanza na ajira??
 
Nahc na mm huu uzi unanihusu sasa nimemalza chuo niko nyumban mtaji ni changamoto na nahtaj angalau nipate pa kujishikiza ili maisha yaendelee
Tafuta sehemu ujitolee hata bure ndugu yangu...!! Then kwaajili ya uzoefu utaweza tengeneza connection nyingi Sana'a!! Zitakupa uwezo mzuri na ujenzi mzuri wa mawazo yakinifu
 
Umesomea nini chuo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…