Baada ya kugundua kuwa wamepigwa kwa Conte waliyemsifia na kumpamba sasa wameamua Kumrudisha Daktari wa Mpira Aucho

Baada ya kugundua kuwa wamepigwa kwa Conte waliyemsifia na kumpamba sasa wameamua Kumrudisha Daktari wa Mpira Aucho

Mlionywa mapema sana kuwa Msikurupuke ila kwakuwa mnajifanya nyie ni Wakubwa na mna Hela mkadharau sasa mmeshaumbuka na mnajuta kuingizwa Kingi kumsajili Mchezaji mbovu Conte.
Kwani dirisha pana halijafungwa ama watatumia 'back doors' ile milango yenye minyororo na makufuri yenye kutu kwa kuzingatia big results now
 
Usajili si umeshafungwa na Dr. kasajiliwa Singida. Ni mapema sana kumuhukumu Conte kwa mechi moja tena wakati timu ipo pre season.

Kwa yeyote aliyechexza mpira wa ushindani hata madaraja ya chini anajua wazi wakati wa mwanzoni baada ya mazoezi magumu hauwezi kuuona ubora wa mchezaji japo kuna wachache wanaweza kuwa tofauti. Kwa walio wengi misuli huwa inaachia baada ya michezo 5 - 10 baada ya kipindi cha mazoezi magumu. Kwa kuwa mpira ni mchezo wa wazi basi baada ya mechi 5- 10 baada ya pre seoson ndio tutaweza kujua Conte ni mali au malimbovu.

Ni mtizamo tu
 
Nyuzi za Genta mada huishia kwenye reply ya kwanza, zijazo zote ni kejeli, matusi na mizaha.
Huwa kuna mahala popote pale nikizianzisha nawaomba au hata kuwalazimisheni mzifungue na mzisome? Mnafiki Wewe.
 
Usajili si umeshafungwa na Dr. kasajiliwa Singida. Ni mapema sana kumuhukumu Conte kwa mechi moja tena wakati timu ipo pre season.

Kwa yeyote aliyechexza mpira wa ushindani hata madaraja ya chini anajua wazi wakati wa mwanzoni baada ya mazoezi magumu hauwezi kuuona ubora wa mchezaji japo kuna wachache wanaweza kuwa tofauti. Kwa walio wengi misuli huwa inaachia baada ya michezo 5 - 10 baada ya kipindi cha mazoezi magumu. Kwa kuwa mpira ni mchezo wa wazi basi baada ya mechi 5- 10 baada ya pre seoson ndio tutaweza kujua Conte ni mali au malimbovu.

Ni mtizamo tu
Hata apewe muda gani Conte awezi fikia ubora wa Aucho. Kumwacha Aucho Yanga wamezingua pakubwa
 
Back
Top Bottom