Ninavyojua jua ukipata chuo kimoja it means jina lako litakua limepelekwa tcu moja kwa moja sasa ukiapply tena ndio unaweza kuchaguliwa ila shida itakuja wakipeleka majina tcu utaoneekana umesajiliwa na chuo x kwahiyo utaleta mchanganyo na unaweza futiwa usajili kua makini mkuu
ni kwel kabixa nilisahau ilo, ndo maana kuna baadhi huhairisha masomo kwa sababu iyo ukichagulia chuo kimoja na pesa zako zinkiwa bonded na iyo adimision kwa wale wa hesleb. so nadhani hata ukiomba reg number yako inaonesha tayari iko accupied kwenye chuo kingine so no wayEmbu fafanua vizuri ,mana ukichaguliwa Chuo kimoja hamna sehem yakucomfirm
ni kwel kabixa nilisahau ilo, ndo maana kuna baadhi huhairisha masomo kwa sababu iyo ukichagulia chuo kimoja na pesa zako zinkiwa bonded na iyo adimision kwa wale wa hesleb. so nadhani hata ukiomba reg number yako inaonesha tayari iko accupied kwenye chuo kingine so no way
kinoma ni mchakato utakupotezea muda wako hadi uje ufanikiwe.Hivi nakuhama Chuo Badae boom siwanazingua sana
nadhan!Kwahiyo hapo mtu hana uwezo wakupata chuo ..!??