Baada ya korosho, sasa zao la pamba limekosa wanunuzi nchini. Ni hujuma au ndio vita ya kiuchumi? Wanaogopa TRA kuwalundikia kodi na kuwafilisi?

Nadhani vijana watanzania mngejua kuwa hii ni fursa kwenu kwa namna yoyote msingekaa hapa kulalamika.

Hebu jiulizeni kuna kampuni ngapi za watanzania zinazojihusisha na manunuzi na uuzaji wa haya mazao ya biashara nje ya mipaka ya Tanzania kwenye soko halisi?!

Ukitazama hawa wanaoshikiria hizi biashara ni wahindi, wachina na wazungu ambao zinawapatia multimillion returns baada ya kufikisha katika soko.

Ngoojeni niwaambie jambo, hao wakulima wahafeli wala kukwama kwasababu ya TRA, serikali wala magufuri. Wanafeli sababu vijana ambao mlisomeshwa kwa kodi za serikali mnashindwa kubuni mbinu na mikakati mbadala ya kufunika hilo gepu kati ya mkulima wa Tanzania na mnunuzi aliyepo nje ya nchi. Vijana wa Tanzania especially wasomi ni disgrace hata kwa wazazi wenu sembuse serikali. Sikatai kuna changamoto za hapa na pale, figisu na viroho vya korosho tunafanyiana but hii ni kawaida popote duniani ukiwa unayatafuta mafanikio.

Leo masanja ameanzisha processing factory ya mchele na anauza mchele ukiwa kama finished product tayari kwa mtumiaji wa mwisho kuitumia. Na anamfikia hadi mteja wa mwisho. Analima hekali nyingi sana.

Kwann hamuwezi kuelewa kuwa huyu raisi wa sasa anawatengenezea platform ya kuanza kuziba magepu ya kiuchumi ambayo kwa miaka nenda rudi huwa yanazibwa na raia wa kihindi ambao wanajifanya ni raia wa tz ila ni kinafiki tu wapo hapa kuchuma na wakineemeka haooo wanakwenda ulaya kuishi?!

Hivi itakugharimu kiasi gani ukijifunza namna hilo zao la pamba linalimwa bei zake na uhitaji wake upo vipi lakini pia soko lake lipo wapi ili hawa wanaokimbia watupishe sisi tushike nafasi zetu. Si lazima uanze na manunuzi makubwa ila unaweza anza kidogo kidogo kwa kununua mzigo wa laki na hatimae utafika mamilioni.

Tuache kutumia muda kulalamika kwasababu tu tumepewa taarifa za lawama. Wakati watu wanasema wawekezaji wa korosho wanakimbia nenda katafiti nini kimewakimbiza. Mfano swala la korosho ukitazama hadi sasa serikali inatafuta wanunuzi. Na hao wanaosema wakienda wanabaniwa am telling you 100% guarantee huwa wanakuwa ni madalali wa wachina na wahindi.

These business za mazao zina hela sana tofauti na mnavyojazwa ujinga ujinga humu. Nendeni huko mashambani mkatalii mjionee uhalisia badala ya kujificha kwenye smartphone vyumbani mwenu mkisoma maneno ya kuambiwa na kujipa mastress yasiyo na lazima.

Oooh watu wanafilisika wanafeli awamu hii. Guys, juzi hapa kuna bwana mdogo analima ufuta alikuwa bandalini pale anafanya clearance ya kutoa gari yake Suzuki Grand, gari ya zaidi ya 15 million na yupo busy na kilimo cha ufuta na maharage.

Average Joe's mpo ndani tu mnalia lia uchumi mgumu na hali ngumu. Mara sijui tra wanabana. Kisa tu umeomba kazi vikampuni vitano na kadegree kako haujafanikiwa. Kisa TRA walikufuata katika flame yako na kukudai ulipe laki tano ambayo utailipa mwaka mzima.

Badili platforms, zunguka mikoa hii hakuna mtu kakufunga kamba ni pesa yako tu na jeuri ya kusafiri na namna unajipanga.

Neno la mwisho. Vijana wenzangu,huu umri ukienda haurudi. Kama vile unavyopuliza mshumaa wa keki yako ya birthday ule moto unapozima unakwenda na umri wako.

Ipo siku utashtuka ukiwa na miaka 70,bado unaishi nyumba ya kupanga, mwili umechoka unasikia kulala muda wote, hauwezi kufikiria sana tena maana kutakuwa na mabadiliko sana ya kiuchumi, biashara, technology na mengineyo. Wale watoto vichanga watakuwa ni watu wazima sasa na watakuwa ndio wapo. Katika prime age ya kutafuta. Wewe upo hapo hauna pension maana ulitumia miaka yako ya ujana kulalamika na kutukanana na watu usiowajua mtandaoni.

Lets go out there, twendeni tukafanye mipango safi na halali ya kupata pesa..... Hii hali ya sasa ya kiuchumi kama hamjajua tu ni fursa kuubwa sana kuwahi kutokea kwa vijana wa kitanzania kujiimalisha. Kwa wale waliozoea kuishi kimazoea hawataelewa na wataona nawapigia kelele ila kwa watu wenye utashi na kufikiri kwa busara watajua najaribu kuweka bayana jambo gani hapa.

Samcezar umeongea mambo mengi mazuri lakini bahati mbaya umeyaweka kwa ujumla zaidi.

Sina hakika una uelewa kiasi gani kwenye masoko ya mazao hapa ndani na nje ya Tanzania.
Kwanza kwenye soko la pamba Tanzania waliowekeza kwa kiwango kikubwa ni wazawa na sio wahindi kama unavyosema. Mfano Fresho, Gaki, S&C Ginning, NGS, Nsagali, Kahama Oil, Aham n.k hawa ni wazawa tena wasiokuwa na elimu kubwa kubwa ila kwa sasa ni wahanga. Sasa hao vijana unawahimiza waende huko hata mitaji hawana unataka wakafanye nini ambacho hakijafanyika kwa mazingira ya sasa.

Pili uuzaji wa mazao ya kilimo kwa kwa asilimia kubwa hupitia kwa mawakala/dalali (agents/brokers). Hata leo hii ukipeleka bidhaa yako kariakoo kutokea mkoani utakutana na madalali/brokers. Ukitaka kuuza pamba au korosho yetu China, Vietnam, Thailand au Bangladesh ni lazima utakutana madalali/brokers. Hata hii korosho yetu hakuna mwenye kiwanda Vietnam anayeinunua moja kwa moja kutoka kwetu!!

Biashara za mazao zina pesa kweli ila lazima uruhusu mnyororo wake ufanye kazi. Sasa kuwalaum vijana kwa ujumla jumla tu sio sawa. Kama kinachofanyika sasa kinalenga kunufaisha vijana basi yawepo mazingira wezeshi kwa vijana hao kuchukua fursa hizo.

Wakati nakubaliana nawe kwamba ujana ndio kipindi pekee cha kuandaa kesho yako ila kwamba kuna kijana kanunua gari ndio iwe kipimo cha kufanikiwa, nitapata mashaka na uhakika wa ukisemacho!!
 
Matatizo ya kumkabidhi nchi mwwndawazimu eti aiongoze! Ameshindwa vibaya sana awamu yake ya kwanza sasa hawa wahuni wanadai wana desturi ya kuachiana madaraka kwa awamu mbili!!! Mtu kafeli hivi kila sehemu halafu mnataka kumpa tena awamu nyingine! Ili kutimiza desturi zenu!!! Vipi kuhusu maslahi ya Watanzania!? Nchi hii imejaa upumbavu wa hali ya juu.


Machozi yamenitoka! Kabisa ni mwendawazimu wa kiwango kikubwa sana nchi imemshinda pakubwa sana hata Nyerere hakuwa kuwa wa kufeli kiwango hiki ingawa yeye ndio alikuwa anajifunza hakuwa na mtangulizi wake lakini huyu MUNGU atunusuru kwa njia ya kipekee kwa kweli
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Tabia ya Tz ni wanafiki, wameuwa soko la mbaazi na mahindi tukacheka.
Wakaua korosho tukaona sawa, sasa pamba tunaelekea wapi?
Uchumi unakwenda shimoni!!
Serikali ibadilike acha kuingilia biashara mnauwa uchumi!!


Mbaazi ni mboga nzuri sana
Korosho tutakuwa wenyewe
Mahindi ni chakula kikuu
Pamba tutatengeneza magodoro
 
Umeanza kununua pamba mkuu? Haya unayoyasema ni rahisi kwenye karatasi kuliko vitendo.Kama mgeni kashindwa kwenye bei kipi kitamuwezesha mzawa mwenye mtaji mdogo kufanikiwa? Biashara haiangalii rangi bali mtaji,mazingira mazuri,uhakika wa soko pamoja na connection.
Hapana, sipo kabisa na hilo zao. Ila kama ulinipata vema kuna kipande nilizungumzia swala la vijana maamuzi yao kuwa influenced zaidi na taarifa za kupewa bila kujua nani alizichakata badala ya kutumia tafiti zao binafsi.

Kimsingi, mentality zetu zimelala sana. Tuna amini kila tatizo solution yake huwa inapatikana kirahisi na ni ya siku moja.

Wataka nambia hawa wachina na wahindi ambao wamefungua maviwanda huko kwao wanatagemea inputs kutoka kwetu kwamba haya mazao kwao sio muhimu katika shughuli zao.

Na kushindwa kwao ndio kushindwa kwetu. Hawa jamaa wengi wao wamefanya biashara muda mrefu sana na sasa wanadaiwa kodi na malimbikizo yake, so lazima watoke baluti. Ila wewe young business man hii kwako ni nafasi.

Wewe unadhani wao walianza na mitaji ya mamilioni at once.....?!

Na usipoanza, unategemea vipi kuendelea?!
 
Nadhani vijana watanzania mngejua kuwa hii ni fursa kwenu kwa namna yoyote msingekaa hapa kulalamika.

Hebu jiulizeni kuna kampuni ngapi za watanzania zinazojihusisha na manunuzi na uuzaji wa haya mazao ya biashara nje ya mipaka ya Tanzania kwenye soko halisi?!

Ukitazama hawa wanaoshikiria hizi biashara ni wahindi, wachina na wazungu ambao zinawapatia multimillion returns baada ya kufikisha katika soko.

Ngoojeni niwaambie jambo, hao wakulima wahafeli wala kukwama kwasababu ya TRA, serikali wala magufuri. Wanafeli sababu vijana ambao mlisomeshwa kwa kodi za serikali mnashindwa kubuni mbinu na mikakati mbadala ya kufunika hilo gepu kati ya mkulima wa Tanzania na mnunuzi aliyepo nje ya nchi. Vijana wa Tanzania especially wasomi ni disgrace hata kwa wazazi wenu sembuse serikali. Sikatai kuna changamoto za hapa na pale, figisu na viroho vya korosho tunafanyiana but hii ni kawaida popote duniani ukiwa unayatafuta mafanikio.

Leo masanja ameanzisha processing factory ya mchele na anauza mchele ukiwa kama finished product tayari kwa mtumiaji wa mwisho kuitumia. Na anamfikia hadi mteja wa mwisho. Analima hekali nyingi sana.

Kwann hamuwezi kuelewa kuwa huyu raisi wa sasa anawatengenezea platform ya kuanza kuziba magepu ya kiuchumi ambayo kwa miaka nenda rudi huwa yanazibwa na raia wa kihindi ambao wanajifanya ni raia wa tz ila ni kinafiki tu wapo hapa kuchuma na wakineemeka haooo wanakwenda ulaya kuishi?!

Hivi itakugharimu kiasi gani ukijifunza namna hilo zao la pamba linalimwa bei zake na uhitaji wake upo vipi lakini pia soko lake lipo wapi ili hawa wanaokimbia watupishe sisi tushike nafasi zetu. Si lazima uanze na manunuzi makubwa ila unaweza anza kidogo kidogo kwa kununua mzigo wa laki na hatimae utafika mamilioni.

Tuache kutumia muda kulalamika kwasababu tu tumepewa taarifa za lawama. Wakati watu wanasema wawekezaji wa korosho wanakimbia nenda katafiti nini kimewakimbiza. Mfano swala la korosho ukitazama hadi sasa serikali inatafuta wanunuzi. Na hao wanaosema wakienda wanabaniwa am telling you 100% guarantee huwa wanakuwa ni madalali wa wachina na wahindi.

These business za mazao zina hela sana tofauti na mnavyojazwa ujinga ujinga humu. Nendeni huko mashambani mkatalii mjionee uhalisia badala ya kujificha kwenye smartphone vyumbani mwenu mkisoma maneno ya kuambiwa na kujipa mastress yasiyo na lazima.

Oooh watu wanafilisika wanafeli awamu hii. Guys, juzi hapa kuna bwana mdogo analima ufuta alikuwa bandalini pale anafanya clearance ya kutoa gari yake Suzuki Grand, gari ya zaidi ya 15 million na yupo busy na kilimo cha ufuta na maharage.

Average Joe's mpo ndani tu mnalia lia uchumi mgumu na hali ngumu. Mara sijui tra wanabana. Kisa tu umeomba kazi vikampuni vitano na kadegree kako haujafanikiwa. Kisa TRA walikufuata katika flame yako na kukudai ulipe laki tano ambayo utailipa mwaka mzima.

Badili platforms, zunguka mikoa hii hakuna mtu kakufunga kamba ni pesa yako tu na jeuri ya kusafiri na namna unajipanga.

Neno la mwisho. Vijana wenzangu,huu umri ukienda haurudi. Kama vile unavyopuliza mshumaa wa keki yako ya birthday ule moto unapozima unakwenda na umri wako.

Ipo siku utashtuka ukiwa na miaka 70,bado unaishi nyumba ya kupanga, mwili umechoka unasikia kulala muda wote, hauwezi kufikiria sana tena maana kutakuwa na mabadiliko sana ya kiuchumi, biashara, technology na mengineyo. Wale watoto vichanga watakuwa ni watu wazima sasa na watakuwa ndio wapo. Katika prime age ya kutafuta. Wewe upo hapo hauna pension maana ulitumia miaka yako ya ujana kulalamika na kutukanana na watu usiowajua mtandaoni.

Lets go out there, twendeni tukafanye mipango safi na halali ya kupata pesa..... Hii hali ya sasa ya kiuchumi kama hamjajua tu ni fursa kuubwa sana kuwahi kutokea kwa vijana wa kitanzania kujiimalisha. Kwa wale waliozoea kuishi kimazoea hawataelewa na wataona nawapigia kelele ila kwa watu wenye utashi na kufikiri kwa busara watajua najaribu kuweka bayana jambo gani hapa.

Ok tuseme uko sahihi, wewe umefanya lipi mpaka sasa
 
Sasa kumekucha!
TBC wametangaza kupitia taarifa ya habari kwamba pamba mkoani Tabora imekosa kampuni ya kuinunua!,nadhani hii itakuwa nchi nzima!

Hapo mwanzoni wakulima walikuwa wanachekelea wakati wafanyabiashara wakisulubiwa,wakiswekwa ndani,baadae watumishi wa umma wakatiwa msukosuko wa vyeti na kutumbuliwa na kadhalika!

Kwa kweli kwa wakulima na wamachinga kwao ilikuwa ni sherehe kubwa sana kuona wenzao wanakomolewa!

Sasa moto umeshuka,na wao hawako salama,wamachinga wanahenyeshwa na vitambulisho vya elfu 20,wakulima nao wanakoma,pamba haina soko, nadhani wataenda kutengeneza magodoro!

Hii sasa ndio vita ya kiuchumi tuliyokuwa tunaihubiri na kuifurahia katika vijiwe vyetu vya kahawa, ni sawa na Iran kuzuiwa au kususiwa kuuza mafuta nje ya nchi.

Kama nchi ilikosa fedha ya kigeni katika korosho,sasa inakosa katika pamba,wananchi watapigika kwelikweli maana hela waliotarajia wataikosa,watakosa mtaji kwa ajili ya kilimo msimu ujao hapo sasa akili zitawarudia

TRA wamefukuza makampuni ya ununuzi wa pamba,kwani pamba inalimwa Tanzania tu? Zimbabwe je?

Walamsiki

TRA wamepewa watu wasiojiweza. Wasiojua biashara. Inabidi ifumuliwe completely.
Nimeshangaa Tumbaku Morogoro wanataka kufunga kiwanda. Najiuliza kulikoni? Tuna shida gani sisi?
Yule mbaba aliyeenda Njombe yule...sijui alisomea wapi kuhusu kodi. Ni kilaza kweli kweli wa bishara
 
Ikishindikana kuuza tutawapa wanafunzi wale kwani tuna mpango wa chakula mashuleni (in polepoles voice)
 
TRA wamepewa watu wasiojiweza. Wasiojua biashara. Inabidi ifumuliwe completely.
Nimeshangaa Tumbaku Morogoro wanataka kufunga kiwanda. Najiuliza kulikoni? Tuna shida gani sisi?
Yule mbaba aliyeenda Njombe yule...sijui alisomea wapi kuhusu kodi. Ni kilaza kweli kweli wa bishara
Dah! Tumbaku iko ICU??!
 
Sasa kumekucha!
TBC wametangaza kupitia taarifa ya habari kwamba pamba mkoani Tabora imekosa kampuni ya kuinunua!,nadhani hii itakuwa nchi nzima!

Hapo mwanzoni wakulima walikuwa wanachekelea wakati wafanyabiashara wakisulubiwa,wakiswekwa ndani,baadae watumishi wa umma wakatiwa msukosuko wa vyeti na kutumbuliwa na kadhalika!

Kwa kweli kwa wakulima na wamachinga kwao ilikuwa ni sherehe kubwa sana kuona wenzao wanakomolewa!

Sasa moto umeshuka,na wao hawako salama,wamachinga wanahenyeshwa na vitambulisho vya elfu 20,wakulima nao wanakoma,pamba haina soko, nadhani wataenda kutengeneza magodoro!

Hii sasa ndio vita ya kiuchumi tuliyokuwa tunaihubiri na kuifurahia katika vijiwe vyetu vya kahawa, ni sawa na Iran kuzuiwa au kususiwa kuuza mafuta nje ya nchi.

Kama nchi ilikosa fedha ya kigeni katika korosho,sasa inakosa katika pamba,wananchi watapigika kwelikweli maana hela waliotarajia wataikosa,watakosa mtaji kwa ajili ya kilimo msimu ujao hapo sasa akili zitawarudia

TRA wamefukuza makampuni ya ununuzi wa pamba,kwani pamba inalimwa Tanzania tu? Zimbabwe je?

Walamsiki
Kuna kapuku mmoja aliwahi kunipandishia kwamba nitulie jpm ainyoshe nchi! eti siye tuliozoea kula kuku sasa tuko sawa na wao!!
Natafuta muda kukutana na huyu mkulima(peasant) ili anipe maoni yake leo.
Jiwe jiwe jiwe ataimaliza nchi yote! nb "wafanyakazi wataongezewa mishahara kabla sijaondoka ikulu"
 
Back
Top Bottom