Baada ya Kisa cha Thadei Kweka, nadhani sasa Mwanasheria Mkuu ataufyata na kutambua kwamba Mange Kimambi akija Tanzania hawezi kumgusa kabisa!

Baada ya Kisa cha Thadei Kweka, nadhani sasa Mwanasheria Mkuu ataufyata na kutambua kwamba Mange Kimambi akija Tanzania hawezi kumgusa kabisa!

Synthesizer

Platinum Member
Joined
Feb 15, 2010
Posts
14,176
Reaction score
25,919
Sijajua kama Mange Kimambi ana uraia wa USA au la ,lakini hata kama ana residence ya kudumu, nadhani sasa Mwanasheria Mkuu wa serikali ataufyata na kutambua kwamba Mange Kimambe akiamua kuja Tanzania watakachoweza ni kumzuia pale airport. Lakini kwamba eti watamfunga thubutu!

Swali la "who are you" limejibiwa kwa 100% Kama jibu halijaeleweka uliza tena ufafanuliwe!
 
Hivi america wakiamua kuona mange atafanyiwa wakamuambia nenda tanzania tuone kama watakukamata, je tanzania itamkamata kwa mazingira kama ya kweka? Maana ni raia wao yule
 
Mange atakamatwa sababu Mange bado ni mTanzania bajabadili uraia ila huyo kweka yeye alibadili uraia kutoka uTanzania kwenda uaMerika
Kaolewa na kazaa marekani, automatically ni raia wao huyo. Hata hivyo kwa risk aliyoamua kuifanya sidhani kama atakua mjinga asiwe amebadilisha uraia mpaka leo.
 
Mange atakamatwa sababu Mange bado ni mTanzania bajabadili uraia ila huyo kweka yeye alibadili uraia kutoka uTanzania kwenda uaMerika
Nahani ni permanent resident wa USA. Na yule Secretary of State alisema nchi nyingine haziruhusiwi kumkamata raia au resident wa USA, kama alipost mambo kwenye mtandao ya jamii akiwa Marekani ambako kuna uhuru wa kujieleza.

Kwa hiyo Mange anaweza kusema na hata kutukana anavyotaka, ili mradi afanye hivyo akiwa ndani ya USA, ambako sheria zinamruhusu kufanya hivyo. Huwezi kukamata Mange Tanzania kwa mambo aliyoandika kwenye mitandao akiwa USA, na akiwa ni resident wa USA. Trump ataku-meduro!
 
Back
Top Bottom