Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 8,102
- 23,690
Kwa miezi kadhaa Trump alikuwa akijaribu sana kuongea na Xi bila mafanikio.
Pia alikuwa akitamani sana atembelee China aongee na Xi
Hatimaye leo ndoto zake zote 2 zimetimia kwanza ya kuongea na Xi kwa simu na pili amekaribishwa na raisi Xi atembelee China.
Jambo la kushangaza ni kwamba hizi habari za ombi la Trump kuongea na Xi hata vyombo vya habari vya Marekani havikujua. Vimechukua taarifa hii kutoka vyombo vya habari vya China hasa Xinhua.
Hakuna walichozungumzia kuhusu Russia/Ukraine na Iran sehemu kubwa ya mazungumzo ilihusu masuala ya kibiashara na Taiwan.
Xi Jinping is the most powerful man in the world so far.
Pia alikuwa akitamani sana atembelee China aongee na Xi
Hatimaye leo ndoto zake zote 2 zimetimia kwanza ya kuongea na Xi kwa simu na pili amekaribishwa na raisi Xi atembelee China.
Jambo la kushangaza ni kwamba hizi habari za ombi la Trump kuongea na Xi hata vyombo vya habari vya Marekani havikujua. Vimechukua taarifa hii kutoka vyombo vya habari vya China hasa Xinhua.
Hakuna walichozungumzia kuhusu Russia/Ukraine na Iran sehemu kubwa ya mazungumzo ilihusu masuala ya kibiashara na Taiwan.
Xi Jinping is the most powerful man in the world so far.