Baada ya dawa hizi nini hutokea?

Baada ya dawa hizi nini hutokea?

zebingwa

Member
Joined
Oct 6, 2024
Posts
43
Reaction score
87
Tulionana na specialist akampa dawa za duphaston ili ashike mimba, baada ya kumaliza tu vidonge 10 akaanza period, tukapiga mechi siku za hatari kama dokta alivyotuambia, siku 4 kabla hajaanza period akaona matone mawili,baada ya siku mbili likatoka tone moja, ilipofika tarehe ya kuanza period damu inatoka kama kawaida, je hii maana yake nini? nimrudishe tena hospitali? au tungoje siku za hatari tupige tena mechi?
 
Tulionana na specialist akampa dawa za duphaston ili ashike mimba, baada ya kumaliza tu vidonge 10 akaanza period, tukapiga mechi siku za hatari kama dokta alivyotuambia, siku 4 kabla hajaanza period akaona matone mawili,baada ya siku mbili likatoka tone moja, ilipofika tarehe ya kuanza period damu inatoka kama kawaida, je hii maana yake nini? nimrudishe tena hospitali? au tungoje siku za hatari tupige tena mechi?

Pole sana,

Ndiyo, ni muhimu mkarudi kwa huyo daktari bingwa kwa ushauri na elimu zaidi.

Kila la kheri.
 
Tulionana na specialist akampa dawa za duphaston ili ashike mimba, baada ya kumaliza tu vidonge 10 akaanza period, tukapiga mechi siku za hatari kama dokta alivyotuambia, siku 4 kabla hajaanza period akaona matone mawili,baada ya siku mbili likatoka tone moja, ilipofika tarehe ya kuanza period damu inatoka kama kawaida, je hii maana yake nini? nimrudishe tena hospitali? au tungoje siku za hatari tupige tena mechi?
Back to hospital
 
Inasikitisha!
Kama mechi ya kwanza mlitoka 0-0 home, pigeni mechi away hakikisheni GG inasoma &over2.5
 
Tulionana na specialist akampa dawa za duphaston ili ashike mimba, baada ya kumaliza tu vidonge 10 akaanza period, tukapiga mechi siku za hatari kama dokta alivyotuambia, siku 4 kabla hajaanza period akaona matone mawili,baada ya siku mbili likatoka tone moja, ilipofika tarehe ya kuanza period damu inatoka kama kawaida, je hii maana yake nini? nimrudishe tena hospitali? au tungoje siku za hatari tupige tena mechi?
MKUU KWANINI UMEMUANZISHA DAWA, HUKUTAKA KUMPIGA KARAFUU , TANGAWIZI, SOYA, VITUNGUU SWAUMU NA MBEGU ZA MABOGA KWANZA?

ILA

Hakikisha wakati una mwaga unasukumia ndani kabisa usawa wa kutaka ije kutokea mdomoni ndiyo umwage sasa alafu unatulia kidogo humo humo ndani.

Pia hakikisha unakula korosho, tende , mayai ya kuchemsha ya kienyeji na karanga mbichi alafu unakaa siku 4-7 bila kumwaga ndo unakuka kumwagia ndani kabisa siku za hatari.. na uwe unaruka moja moja mfano umemwaga siku ya 9, njoo tena 11, 13, 15 ,( hii inategemeana na siku za hatari za mkeo zinaanzia siku ngapi)

Nb. Muombe Mungu maana ndiye anayetoa pumzi ya uhai na kuumba kiumbe kipya ndani ya huyo my wako.
 
Tulionana na specialist akampa dawa za duphaston ili ashike mimba, baada ya kumaliza tu vidonge 10 akaanza period, tukapiga mechi siku za hatari kama dokta alivyotuambia, siku 4 kabla hajaanza period akaona matone mawili,baada ya siku mbili likatoka tone moja, ilipofika tarehe ya kuanza period damu inatoka kama kawaida, je hii maana yake nini? nimrudishe tena hospitali? au tungoje siku za hatari tupige tena mechi?
Spotting bleed Inaweza Ikawa Dalili ya Implantation Mkuu.

So unaweza Ukapima UPT (kipimo cha Mimba Kuhakiki hilo)..
Ila hata Hivyo Inaweza Ikawa Ni Tatizo la Kawaida kwenye Regulation ya Hormones baada ya Kutunia Duphaston..

Ni normal hakuna Shida yoyote Ukipata Spott bleeding baada ya Kutunia Hormones Just Endelea tu na Maelekezo
 
Back
Top Bottom