Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
hahahahaha! Noumer sana.
Kweli uvivu noumer!
hahahahaha! Noumer sana.
utaanzaje kumwambia tu mtu muende gesti?? apa nazungumzia demu mstaarabu si wa kuokota mitaan!!! mdada wa heshima zake na umejitaidi sana kuweka heshima mbele ili usionekane muhun uliyemtaman tu!!!
We huwa unaomba??!
Ngoja na mimi nijaribu kutumia siku mojaaaa.....No personal experience hapo!
Kwani we huijui dot com?? Yaani ile mistari ya kwenye bongo fleva ndo vijana wenzenu wanaitumia!
We jichanganye nao ndo utaona vioja zaidi!
utaanzaje kumwambia tu mtu muende gesti?? apa nazungumzia demu mstaarabu si wa kuokota mitaan!!! mdada wa heshima zake na umejitaidi sana kuweka heshima mbele ili usionekane muhun uliyemtaman tu!!!